Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
wapi ile picha yenu muko china munafanya shopping ya train?😀😀😀😀leta official source
wapi ile picha yenu muko china munafanya shopping ya train?😀😀😀😀leta official source
wapi ile picha yenu muko china munafanya shopping ya train?
sisi tunapambana na ufisadi ndio maana unaona tunatibua madudu![]()
ndio hivi hapa wameletewa pale dar port lakini wanavikana...hehheee..ichoboy hebu tujuze kulikoni huko
kwan akili yako unafkiri hzo ndio SGR train 😀😀😀😀😀😀 SGR iko jikoni tuliza mshonowapi ile picha yenu muko china munafanya shopping ya train?
hahaa...yani hivi vichwa vilijileta vyenyewe,vikajipaka hizo rangi za tanzania vyenyewe.vikubalini tu ama mnaogopa tutawacheka nivibovusisi tunapambana na ufisadi ndio maana unaona tunatibua madudu
hamna mtu amesema nivya sgr...apo unakurupuka mwenyewekwan akili yako unafkiri hzo ndio SGR train 😀😀😀😀😀😀
hizo ndio train tunazotumia now
![]()
nilitaka aniletee zile picha za bullet train walipiga screenshot fb. walituringishia hapa mda mrefu sana 😀 😀 😀![]()
ndio hivi hapa wameletewa pale dar port lakini wanavikana...hehheee..ichoboy hebu tujuze kulikoni huko
katika akili yako usifkiri hio ndio SGR maana usije anza kujidanganyahahaa...yani hivi vichwa vilijileta vyenyewe,vikajipaka hizo rangi za tanzania vyenyewe.vikubalini tu ama mnaogopa tutawacheka nivibovu
tuliza mshono sasa ndio tunapambana na waliozileta na wameambiwa wazirudishe zilipotokahamna mtu amesema nivya sgr...apo unakurupuka mwenyewe
heheee...nnani kama si TRL sasa.vikubalini tutuliza mshono sasa ndio tunapambana na waliozileta na wameambiwa wazirudishe zilipotoka
naona unajipa matumaini kwamba hzo ndio SGR hahahah umepotea SGR ni moto mwenginenilitaka aniletee zile picha za bullet train walipiga screenshot fb. walituringishia hapa mda mrefu sana 😀 😀 😀
wamekataa hawaja order magufuli kasema virudi vilipotoka ndio tunavopambana na mafisadiheheee...nnani kama si TRL sasa.vikubalini tu
yani nchi yenu inavituko kwa kweli......havirudi popote ivo vichwa.mtakomaa navyo hadi mviuze vyuma chakavu.haiwezekani vilijinunua vyenyewe.ni vyenu...heheewamekataa hawaja order magufuli kasema virudi vilipotoka ndio tunavopambana na mafisadi
Hzi ndio SGR za Tanzania wala usijipe hope kabisa 😀😀😀😀😀nilitaka aniletee zile picha za bullet train walipiga screenshot fb. walituringishia hapa mda mrefu sana 😀 😀 😀
ila vituko hatuwashindi nyie daraja kabla halijafunguliwa linavunjika😀😀😀😀😀😀..sigiriyani nchi yenu inavituko kwa kweli......havirudi popote ivo vichwa.mtakomaa navyo hadi mviuze vyuma chakavu.haiwezekani vilijinunua vyenyewe.ni vyenu...hehee
Hii hapa network ya Railway Tanzania. Uganda watatumia Tanga Port. Mtakoma mwaka huu.nilitaka aniletee zile picha za bullet train walipiga screenshot fb. walituringishia hapa mda mrefu sana 😀 😀 😀
Hii hapa network ya Railway Tanzania. Uganda watatumia Tanga Port. Mtakoma mwaka huu.nilitaka aniletee zile picha za bullet train walipiga screenshot fb. walituringishia hapa mda mrefu sana 😀 😀 😀
ushaanza kuhepesha mada...rudi huko kwenye vichwaila vituko hatuwashindi nyie daraja kabla halijafunguliwa linavunjika😀😀😀😀😀😀..sigiri
huyo ndio magufuli amri moja tu na ameagiza na sasa wanatenda
![]()
aise nchi takriban 7 zimekaa kiutamu 😀😀😀😀😀😀😀Hii hapa network ya Railway Tanzania. Uganda watatumia Tanga Port. Mtakoma mwaka huu.
View attachment 535276