Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only a bongolala like you would actually believe that an area measuring 2.5 square kilometres can hold 2.5 million people. That's a population density of a million people per square kilometer. Wewe ungetafuta elimu Kenya jinsi wenzako wanavyofanya angalau ungebakisha akili ya kudadavua mambo na kureason
tapatalk_1599253999867.jpg
 
Ujamaa ilipotea na akili zao and their reasoning ability
Hawa majamaa huaga wana reason kiboya sana walai, yani ingelikua watu wengine nao wanaelwa kiswahili wangelikutana na vituko..yani wapo km matahira vile
 
Hawa majamaa huaga wana reason kiboya sana walai, yani ingelikua watu wengine nao wanaelwa kiswahili wangelikutana na vituko..yani wapo km matahira vile
Si uondoke jamii forums nani kakushika mkono? Watu wana reason kiboya na bado mpo tuu
 
Umeona sasa ulivyokuwa tahira, kwn jamii forums kuna mahali pameandikwa tanzania
Hii ni mali yetu Watz nyie mna forum zenu wala hatushoboki nazo, hii Kenyani news co kwa ajili yenu ni kwa ajili ya Watz ku discuss kuhusu jirani zetu, pia ipo Ugandan forum so ni kiherehere chenu tu au mnatafuta mabasha wa kibongo km kawaida yenu kutuwaza
 
Aliyeandika huu upupu hata hajui ilikua ana andika nn
Nimesoma paragraph alivyojingonga gonga kw ajili ya kutafuta viwers mpka nimecheka
Kenya ni trash komora, msione mnaweka hapa vipicha mnavyopiga upande upande mkadhani hatujui
 
Hii ni mali yetu Watz nyie mna forum zenu wala hatushoboki nazo, hii Kenyani news co kwa ajili yenu ni kwa ajili ya Watz ku discuss kuhusu jirani zetu, pia ipo Ugandan forum so ni kiherehere chenu tu au mnatafuta mabasha wa kibongo km kawaida yenu kutuwaza
Emu rudia tena, kenyan news ni sehemu ya kufanyia nini tahira
Tanzania bila kenya katika sector hizi hakuna mahali mtaenda, jf jukwaa la kenya likitolewa kutabaki umbea tu..
 
Nioneshe alichoongopa au nikuletee nyingine iliyoandikwa na mtu mwingine
Lete kabisa
Jamaa yani kajipiga piga mpka nikafurahi sana, hyo mnapigwa watu km nyie..
Iweje sehemu ya 250,000 people iwe biggest in africa..

Kisha chini kabisa kakuwekea sehemu ya exchange rates, link haina hata tarehe
 
Only a bongolala like you would actually believe that an area measuring 2.5 square kilometres can hold 2.5 million people. That's a population density of a million people per square kilometer. Wewe ungetafuta elimu Kenya jinsi wenzako wanavyofanya angalau ungebakisha akili ya kudadavua mambo na kureason
Ss inabd u publicize hii article yako ili uwapinge hawa

Screenshot_20210204-005441.jpg
 
Back
Top Bottom