Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unasema ati asilimia kubwa ni slum? Ndio nakuambia kwamba huijui Nairobi wewe. Zaidi ya unachotazama kwenye TV wewe hujui lolote.
Bro Nairobi nimekaa mitaa mbali mbali siwezi nikasingizia kitu ambacho hakipo mfano umoja one,2,3 mpaka kwa chief kuna washikaj wangu wengi wa rundi na wa Congo,komarock south c wasudani,rongai,kasarani,Zimmerman,mpaka githurai 45 wanakaa wanyarwanda/warundi,pangani waithiopia, Eastleigh/komaraock wasomali etc mbona wakimbizi Wanakaa maisha ya juu kuliko nyie wenyeji?
 
Hahaha. Mbona ulisema 100% of Kenyans hawajui kiswahili? Sasa imekuwa 97%? Hahaha. Sawa nimekuelewa.

Halafu hao ni Wakenya na hawajawahi kufika Tanzania na hawana vinasaba vya Kitanzania. Hao walizaliwa Kenya na mababu zao pia walizaliwa Kenya na hawajawahi kuishi Tanzania.

Anyway wacha mjadala uishe.


Cc komora096
kawaulize Kiswahili chao cha Kenya au Tanzania!! Nina uhakika utaambiwa wana-linkage na Tanzania!
 
Hivi inamaana Kenya hakuna mamlaka mpaka watu wanapita ndani ya nchi yenu kutoka kaskazin mpaka kusini msijue, alafu mnasema mna jeshi bora Kazi ya Jeshi ni nini kuvaa gwanda au.
Screenshot_20210203-084755.jpg
 
Bro Nairobi nimekaa mitaa mbali mbali siwezi nikasingizia kitu ambacho hakipo mfano umoja one,2,3 mpaka kwa chief kuna washikaj wangu wengi wa rundi na wa Congo,komarock south c wasudani,rongai,kasarani,Zimmerman,mpaka githurai 45 wanakaa wanyarwanda/warundi,pangani waithiopia, Eastleigh/komaraock wasomali etc mbona wakimbizi Wanakaa maisha ya juu kuliko nyie wenyeji?
We unaongelea nairobi ya kitambo labda
 
Bro Nairobi nimekaa mitaa mbali mbali siwezi nikasingizia kitu ambacho hakipo mfano umoja one,2,3 mpaka kwa chief kuna washikaj wangu wengi wa rundi na wa Congo,komarock south c wasudani,rongai,kasarani,Zimmerman,mpaka githurai 45 wanakaa wanyarwanda/warundi,pangani waithiopia, Eastleigh/komaraock wasomali etc mbona wakimbizi Wanakaa maisha ya juu kuliko nyie wenyeji?
Mimi zamani kidogo kabla ya mambo yangu ya kifedha kubadilika nilikuwa naishi Umoja 1. Sasa unasema kwamba Umoja ni slum? Kichwa chako ni kizuri kweli wewe? Kama Nairobi ni slum mbona kuna Watanzania wengi wanaoishi Nairobi? Kwa mfano wakati bado nilikuwa naishi Umoja, nilikutana na Watanzania wengi sana pamoja na Waganda na Warundi. Cha kushangaza ni kwamba wote wanafanya biashara ndogo ndogo. Kuna Mtanzania msichana alikuwa waiter kwenye hoteli ambayo nilikuwa napenda kula na aliniambia kwamba anatokea Mwanza. Kuna Mtanzania mwingine ambaye alikuwa anauza kwenye duka. Kuna Watanzania wengi walikuwa wanauza nguo mahali panapoitwa Mtindwa, nadhani unapafahamu. Sasa kama Nairobi ni slum mbona mumejazana humu mkifanya biashara ndogo ndogo haswa ya kuuza mitumba? Hadi MP Jaguar aliposema Watanzania wanaouza mitumba Nairobi waondolewe mkapiga makelele hadi serikali yenu ikaanza kutoa vitisho? Nakumbuka hata bunge lenu lilijadili hili swala na kutishia Kenya kwamba tusiwafukuze Watanzania wauza mitumba? Mnafanya nini huku kama huku ni slum tupu? Mnatafuta nini Nairobi? Mbona msibaki huko kwenu ambako hakuna slum?
 
Hiyo sio sababu Tz watu wako spread kwenye mikoa mingine ambayo ina facilities kama za Dar unlike Kenya maendeleo yote yamekuwa concentrated Nairobi so people have to flock in na wala sio issue ya apartment majority ya mid and low income Kenyans live in slums.
Tunaongea kuhusu population between Dar and Nairobi wewe usharuka hadi unamention mikoa mengine. Hata jumbo rahisi kama kufuatilia hoja ni tatizo kwenu!!
 
Back
Top Bottom