Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekasirika[emoji23][emoji23][emoji23]
Madaraja tunayo tangia 80s na tunaongeza, SGR tuliwatanguli[emoji23][emoji23] barabara za juu tuliwatangulia, interchanges tuliwatangulia we hapo unabaki na brt tu[emoji1787][emoji1787]
SGR ipi, kwa mfano mjukuu wako akikuuliza swali hili utajibu vp?

Mjukuu: Bibi eti treni ya kwnz ya kutumia umeme kwa hapa East Africa ilifanya safari yake kuanzia wapi mpk wapi?

Komora: Aahh unajuwa hakuna kitu kinaitwa treni ya kutumia umeme ila treni ni treni tu mjukuu wangu.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahahahaaaaaaa[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1690797
I can clearly see Kenya is more lit - unless you don't know your map.

2.jpg
4.jpg
 
I can clearly see Kenya is more lit - unless you don't know your map.

View attachment 1690812View attachment 1690813
Unaumwa ww yn kenya iipite Tz kwenye electrification utakuwa mgonjwa wa kifadulo wewe, haya mambo ya blackout sisi tulishaachana nayo licha ya ukweli kwamba kwa ss tuna vyanzo vingi vya umeme kuliko nchi yoyote EA [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
Screenshot_20210129-105557.jpg
 
I can clearly see Kenya is more lit - unless you don't know your map.

View attachment 1690812View attachment 1690813
Na ukihitaji ushahidi wa data mpya huu hapa[emoji116][emoji116]

Screenshot_20210131-150126.jpg
 
Na ukihitaji ushahidi wa data mpya huu hapa[emoji116][emoji116]

View attachment 1690820
Acha kusikiza propaganda za wanasiasa wa CCM bradhee na ufuate statistics za ukweli.
 
SGR ipi, kwa mfano mjukuu wako akikuuliza swali hili utajibu vp?

Mjukuu: Bibi eti treni ya kwnz ya kutumia umeme kwa hapa East Africa ilifanya safari yake kuanzia wapi mpk wapi?

Komora: Aahh unajuwa hakuna kitu kinaitwa treni ya kutumia umeme ila treni ni treni tu mjukuu wangu.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sgr ni sgr tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata uruke uende wapi, hapo kw hyo picha sijaona treni ya umeme mie nimeona standard gauge rail
 
IMG_20210130_160815_040.jpg

IMG_20210130_160530_786.jpg

IMG_20210130_160644_929.jpg

Naona wameanza na nguzo kuu kwanza,wameshasimamisha upande mmoja wamehamia upande wa pili sasa,jamaa wako strategic sana hawataki kbs kusababisha foleni,hizo concrete pillars kwenye picha unaweza ziona ndogo kwa karibu ni noma sana lazima shingo inyooke kuweza kuzicover kwa macho mpk juu na hapo bado vitako.
 
Thibitisha... Kutokana na mzizi wa neno Thabiti(Ikimaanisha -enye uhakika)

Dhibitisha si neno la kiswahili la kila.siku... japo mzizi wake ambao ni neno Dhibiti (Ikimaanisha zuia) ni neno tunalolitumia sana.
Weweee!!mziki wake umekushinda mpka ukaona heri ujifanye kumrekebisha[emoji1787][emoji1787]
Hoja kwisha
 
juzi? the longest Mkapa bridge ilijengwa kabla ya 2005!
Bado ukweli utabaki pale pale km EA kilifi ilikua haina mpinzani ndio mumepindua meza juzi..

Lkn mziki wetu mnaujua, huwaga tukipundua sisi ni miongo isiyopungua miwili kupinduliwa tena..
 
Back
Top Bottom