Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maandishi ya report ya TPA hayaonekani vizuri. Nimeshindwa kuisoma. Wacha nitajaribu kufungua na computer nione kama inasomeka.
nimekupa na link pia! uache unazi Mtwara port ni project kubwa already $240 mln zimetumika na phase nyingine zaja! Ni ujinga kufikiria Lamu port ndo project kubwa EA wakati JPM anapanua bandari mbili za pwani na anajenga several maziwani!
 
Screen shots

IMG_5117.jpg

IMG_5118.jpg
 
hizo 3 berths zimechukua miaka 9 sasa kuelekea wa 10 hazijakamilika je hizo 25 berths zitachukua miaka mingapi? endelea kujifariji! nimekupa link ya 2019-2020 handbook ya Tanzania Ports Authority tena ujenzi wa Karema port lake Tanganyika haupo! Mtwara port ita-handle 28 mln tons ikikamilika phases zote pia!

Kumbuka Tanga port nayo inapanuliwa na Chongoleani crude oilterminal for EACOP inakuja ! Be preapared in the next 4 years Tanga port will rival Mombasa port!
Hahahaha!![emoji1787][emoji1787]
Kizere si unaumia sana jamani, jiulize vifaa viliingizwa lini vya kujenga hzo berth tatu hko lamu[emoji1787][emoji1787]

Umepanic sio uongo
 
naomben msaada, kuna mtu anakujua kisaki morogoro? nawezaje kufika huko kutoka Dar kwa Bus?
Yah, mabasi yapo. Ni yale design ya Eicher na nauli ni 17,000/= kama hakutakuwa na mabadiliko. Kituo yanapoanzia ndio sina uhakika.

Nilisikia yanaanzia buguruni (jiridhishe kwa search) ila kwa uhakika yanapita mbezi ya kimara.
 
Back
Top Bottom