Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mombasa.png


Lamu.jpg



VS



Tanzania ports.jpg


Mtwara port.jpg
 
Umeitisha credible source, infact wewe unataka tu KPA, hutaki source ingine. Nimeipata. Kabla nilale wacha nikupe evidence. Lakini baada ya kusoma hii evidence na kugundua kwamba Lamu port itakuwa kubwa kushinda Dar port, tafadhali usikae kimya. Kuja ukubali kwamba Lamu port ni kubwa kushinda port yoyote ile Tanzania. Infact Lamu port ina capacity kubwa kushinda port zote za Tanzania combined. Kama unapinga hili kuja battle, niko tayari.


Anyway ndio hii evidence. Nimeitoa kwa handbook ya KPA ya 2020. Hii ni screenshot ya page 48. Angalia paragragh 5 line 2.
View attachment 1690274

Na kama unataka link ya hio handbook ya KPA, ndio hii hapa

Umepata wapi hizo 28 tonnes ilizo handle 2019 uje ulinganishe na za Tz.
Ni navyojua mimi lamu port mpaka sasa haijawahi handle hata 1kg.


Anyway, nashukuru kwamba umeelewa kwamba Lamu port will be handling 1.2 million teus na sio 1.2 million tonnes. Siku nyingine usiwahi tena kuilinganisha Mtwara port na Lamu port. Lamu port ina capacity ya kuhandle more cargo than all your ports combined. Lamu port itakuwa na capacity ya kuhandle 28.8 million tonnes while all Tanzania's ports in 2019 handled slightly less than 17 million tonnes of cargo.


Lamu port pekee inafunika port zenu zote kwa capacity. Halafu Lamu port haijajengwa kwa miaka kumi. Construction ilianza December 2016. Wewe unatumia ile kigezo cha rais Kibaki kuzindua Lapsset in 2012 kama kigezo cha start date ya construction. 2012 kilichozinduliwa ni Lapsset corridor masterplan. Lakini ujenzi wa hizi berths 3 zilianza in December 2016. Soma hapa



Mtwara port.jpg


Angalia paragraph ya pili toka mwisho! I see 28 mln tons of cargo per year! Not so fast mzee JPM anawapiga vibaya sana na projects zake! subiri anaenda kuifungua bandari ya Mtwara soon utaskia upanuzi zaidi!


MY TAKE
Hawa jamaa wao ni ruksa kuongelea capacity ya mradi unaoenda mwaka wa 10 bila kukamilika ila sisi ni marufuku kuongelea Mtwara port iliyepanuliwa chini ya miaka mitatu na upanuzi ukiendelea! ujinga wa Tony254 anaujua mwenyewe!
 
Ikiwa complete phases zote itahandle 20 million teus. Yaani wewe ni nyumbu kiasi cha kwamba ninakupa credible source usome na unashindwa kabisa kusoma. chongchung Nimekupa handbook ya KPA ya 2020 na nikakupa hata page, paragraph na laini usome na umeshindwa?

Cc Geza Ulole
Unavyolazimisha hivi na hayo marender yako unaweza kunipa takwimu za jumla ya mzigo Lamu imepokea toka ikamilike?
 
Ikiwa complete phases zote itahandle 20 million teus. Yaani wewe ni nyumbu kiasi cha kwamba ninakupa credible source usome na unashindwa kabisa kusoma. chongchung Nimekupa handbook ya KPA ya 2020 na nikakupa hata page, paragraph na laini usome na umeshindwa?

Cc Geza Ulole
hizo 3 berths zimechukua miaka 9 sasa kuelekea wa 10 hazijakamilika je hizo 25 berths zitachukua miaka mingapi? endelea kujifariji! nimekupa link ya 2019-2020 handbook ya Tanzania Ports Authority tena ujenzi wa Karema port lake Tanganyika haupo! Mtwara port ita-handle 28 mln tons ikikamilika phases zote pia!

Kumbuka Tanga port nayo inapanuliwa na Chongoleani crude oilterminal for EACOP inakuja ! Be preapared in the next 4 years Tanga port will rival Mombasa port!
 
Anyway, nashukuru kwamba umeelewa kwamba Lamu port will be handling 1.2 million teus na sio 1.2 million tonnes. Siku nyingine usiwahi tena kuilinganisha Mtwara port na Lamu port. Lamu port ina capacity ya kuhandle more cargo than all your ports combined. Lamu port itakuwa na capacity ya kuhandle 28.8 million tonnes while all Tanzania's ports in 2019 handled slightly less than 17 million tonnes of cargo.


Lamu port pekee inafunika port zenu zote kwa capacity. Halafu Lamu port haijajengwa kwa miaka kumi. Construction ilianza December 2016. Wewe unatumia ile kigezo cha rais Kibaki kuzindua Lapsset in 2012 kama kigezo cha start date ya construction. 2012 kilichozinduliwa ni Lapsset corridor masterplan. Lakini ujenzi wa hizi berths 3 zilianza in December 2016. Soma hapa


Okay naona fikra zako zinakufanya ufikirie Tz haikui ...DAR port expansion inaifanya iwe na capacity ya 28million tonnes so its not like things zinabaki hapo..kumbuka we View attachment 1690566
are talking about project which is 90% complete

Kwenye airport tulianza hvyo hvyo ila now JNIA has more capacity than JKIA

Plus plans za kujenga Bagamoyo Port zipo bado
 
Mzee mzima anarudi capital city Dodoma ku-launch mega projects!




CC: Tony254 expect ring road, Msalato International Airport, Dodoma state of the art stadium, Uhuru hospital, Farkwa dam, Zuzu power distribution station, Ikulu to be on the agenda pia uwekaji jiwe la wa msingi majengo ya mji wa serikali.







 
Vitu vikubwa na vyenye tija na vyenye uwekezaji mkubwa wa namna hii huwezi viskia upande wa pili.
 
Vitu vikubwa na vyenye tija na vyenye uwekezaji mkubwa wa namna hii huwezi viskia upande wa pili.
Huo mradi mbona cha mtoto kuna mradi wa EACOP wa $3.5 bln ambapo 80 percent ya pipeline itakuwa Tanzania! Mwaka huu mradi unaanza na hata Tony254 anajua!
 
Eti Tanzania wana madem. Simba mwenyewe akakosa nyama kawinda Kenya!! Mtaambia nini watu.

I love the bangle on her wrist.
View attachment 1690313
Naona umempost basha wenu, hahaha haya ni mapinduzi makubwa, tukisema tunawatawala politically, economically and socially mnakataa.

My take
Endeleeni kushobokea wabongo mwishowe watawatafuna wote [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom