Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,434
By the way 40 foot container inaweza weigh anything depending on the goods it is carrying and the amount of space it occupies. So some 40 ft containers zinaweigh 29 tonnes, zingine 27 tonnes na zingine 23 tonnes e.t.c so inategemea na mzigo iliyobebwa ndani ya container ila standard weight measurement ya 40 ft container ambayo Kenya inatumia ni 1 40 ft container = 24 tonnes. So Mombasa port in 2019 ilihandle 1.4 million teus which is equal to 1.4 million * 24 = 33.6 million tonnes. So sio kweli kwamba Mtwara itahandle 1.5 million teus maana hio itakuwa 1.5 million * 24 = 36 million tonnes. Yaani unajaribu kusema kwamba Mtwara port itakuwa kubwa kushinda Mombasa port au hata Dar es Salaam port? Itakuwa the biggest port in East Africa in terms of capacity? Hio haiwezekani.40 foot container!
Hata google haikubaliani na wewe. Google inasema kwamba Mtwara port ina upgraded capacity ya 750,000 metric tonnes. Lakini najua google iko wrong maana upgraded capacity ya Mtwara ni 1 million tonnes sio 750,000 tonnes
After expansion, Mtwara itahandle 1 million tonnes sio 1.5 million teus kama unavyodanganya