President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,057
- 93,451
Askari anayeweka slaha huyo ni wa kuchapa risasi. Tatizo lako ni kurukia mada. Hapa unajua kabisa ni thread inahusu battle btn Dar es salaam and Nairobi.Kitu nilichogundua leo ni kuwa ijapokuwa hii forum ni ya Dar Es salaam Vs Nairobi, watanzania hawako tayari kukubali makosa ambayo yanahusiana na Tanzania. Most of us would rather sweep our mistakes under the rug instead of facing them with confidence! Ushauri wangu ni kuwa tuwe watu wenye upeo wa kufikiri. Ushabiki upo lakini zawadi ya kutambua pale jambo ni Jema au ovu ni upeo wa watu wachache sana. Tanzania itafanikiwa kwa kiasi kikubwa kama tukijitofautisha na majirani zetu. Tuwe watu wenye akili na nguvu ya kufanya kazi na muhimu zaidi, tuweze kuona makosa yetu wenyewe na tuyatatue. On a side note, Today is my last day as a member of this thread. I have realized that I do not need to be an active member to show my allegiance to Tanzania. Although I have learned a lot of things since I joined this battle, my role has been time consuming, distracting, and it has taken a toll on my personal life on a regular basis. Surely, I have come a long way, but I’m certain that my absence will not cause any problems. I have also made mistakes. So, I apologize if I have caused any inconvenience among you. Hopefully, you’ll all continue to show the masses just how both TZ and KE are making progress. Also, Tanzanians..keep kicking ass.
Sasa mzee hujui hata ethics. Huwezi kuwa na issue zako na mke wako halafu ukaanza kumdhalilisha kwenye public.
Jifunze kujifunza. Na usilazimishe mambo.