Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii habari ya kenya kuwa in recession maana yake nn, generally to GDP.. watu wa uchumi
IMG_1611943903.780897.jpg
 
Hii habari si encouraging one, inaonyesha negotiations zita-drag ukizingatia breaking even price ikiwa juu ya Equinor portfolio na ndo maana wame-write down expenses for pre TLNG costs in other words wame-absorb the over the board costs!
Shukrani, nimejaribu kukuelewa kidogo.

Nadhani mvutano hapo ni swala la kisheria kidogo. Haswa sheria zetu hizi mpya, hivyo inatafutwa namna ya ku close gap. Hopefully at the end muafaka utapatikana maana kila upande uko serious na hii project.
 
Nchi imemyea kenyatta alaf muanze kumtupia lawama moi au kibaki bado tunasubiri project ya mchina ikamilike muone shughuli mutakayopata kwa miaka 30
Yosef Festo
ichoboy01 unanitafuta usiku tena? tuliza boli.,niko story sehemu nimebarizi tu, uko wapi nikurushie mbili?.,
 
ooohhhhh sisi tuna viwanda vingi na makampuni mengi ooh wawekezaji wamewekeza sana kenya ooh mara sisi matajiri ooh Tz malazy mara ooh sisi wakenya wachapa kazi....

baada ya porojo nyingi mwisho wa siku unemployment rate ipo high sijui hizo kampuni na viwanda ambavyo mnasema kuwa mnazo nyingi sijui huwa zinaajiri mawe,,,
huwa mnaishi kwa back historical life

najivunia kuwa mkenya....
na nimwgundua kitu kwa upande wa viwanda na makampuni tumewachapa
Viwanda vingi nyef nyef, sijui ati90% employment, GDP $64B+., yet collected revenue from ground operations Tsh 14.6T., matokeo
JamiiForums1552698300.jpg
 
Back
Top Bottom