Uchumi umejinyea tayari 🤣🤣🤣hii habari ya kenya kuwa in recession maana nn, generally to GDP.. watu wa uchumi
View attachment 1689396
Shukrani, nimejaribu kukuelewa kidogo.Hii habari si encouraging one, inaonyesha negotiations zita-drag ukizingatia breaking even price ikiwa juu ya Equinor portfolio na ndo maana wame-write down expenses for pre TLNG costs in other words wame-absorb the over the board costs!
Nchi imemyea kenyattaalaf muanze kumtupia lawama moi au kibaki
bado tunasubiri project ya mchina ikamilike muone shughuli mutakayopata kwa miaka 30
Yosef Festo



ichoboy01 unanitafuta usiku tena?

tuliza boli.,niko story sehemu nimebarizi tu, uko wapi nikurushie mbili?.,

Don't you see that is a village look?Nairobi
It is illegal to compare Nairobi City with a fishing village like Dar es Salaam
View attachment 1689375
Na wewe ukisoma hii

report yote utazeeka au



#mizembe
imewaumbua kwa uongo kweupe., nimewachoka sasa


Huyu mpiga picha alifaa kunywa chui chui 10 amefanya kazi yake kwa weledi
Mizembe kusoma hamuwezi ni kukurupuka tu..Peleka kilio kwenu...


meza wembe kisha ulale.Viwanda vingi nyef nyef, sijui ati90% employment, GDP $64B+., yet collected revenue from ground operations Tsh 14.6T., matokeoooohhhhh sisi tuna viwanda vingi na makampuni mengi ooh wawekezaji wamewekeza sana kenya ooh mara sisi matajiri ooh Tz malazy mara ooh sisi wakenya wachapa kazi....
baada ya porojo nyingi mwisho wa siku unemployment rate ipo high sijui hizo kampuni na viwanda ambavyo mnasema kuwa mnazo nyingi sijui huwa zinaajiri mawe,,,
huwa mnaishi kwa back historical life
najivunia kuwa mkenya....
na nimwgundua kitu kwa upande wa viwanda na makampuni tumewachapa



