Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,077
- 4,525
Kwa Jibu lako nimeamini mambo yenu mengi ni ya kwenye Paper ila uhalisia ni 0Sio lazima tutumie umeme wetu kwenye SGR.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Jibu lako nimeamini mambo yenu mengi ni ya kwenye Paper ila uhalisia ni 0Sio lazima tutumie umeme wetu kwenye SGR.
Hahaha. Nyinyi pia mnakurupuka kama wao tu. Hakuna tofauti kati yenu na wao.Uganda nao bwana kajino kamoja miswaki kibao
Umeanfika kwa mihemko sana walaiHivi kwa nini mnakuwaga waongo na wajinga...
Yaani mkifika 3000MW Tanzania itakuwa na 10K MW
Yaani mnazalisha 100MW za upepo na mnajisifu..
wakati sisi ukitoa the mighty JNHPP tuna miradi zaidi ya 3 ambayo jumla ni 400MW...
Sasa inakuwaje mnashindwa kuendesha SGR kwa umeme ambao ni less than 100MW Kama mnazaidi ya 2000MW
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa akili yako ya CCM unaamini kwamba serikali ya Kenya inaweza kudanganya kuhusu amount of power being generated? Mbona hii ni jambo rahisi kuverify? Kila power plant inajulikana inaproduce megawatts ngapi ya umeme. Kwa hivyo kufanya plus na minus ndio inakushinda?Kwa Jibu lako nimeamini mambo yenu mengi ni ya kwenye Paper ila uhalisia ni 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr too aka Sugu alikua anatia, alimnyang'anya yule Hiphop Fala, Jaffarey.Haina hata shida,mimi mwenyewe na cousin wangu mama yake ni mhindi pure mtafute youtube ni mwanamuziki wa hip hop kitambo tu anaitwa rado,mfano mfuatilie mdosi maarufu huko instagram anaitwa shyrose bhanji,watoto wadogo tu wanamdandia
Wanakwambia kukopa is the way to Go
We jamaa kumbe kichwani mweupe sanaYaani kama mna 2900MW mmeshindwa Kuelectrify SGR yenu na bado mnaamini sababu hamna umeme wa kutosha nyie watu mna akili gani?
Umeme wote mnapeleka wapi eti??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyo huyo aliyekuambia kuwa SGR yao haina haja ya kutumia umeme baadaye atakuja nakusema tuna electrify sgr yetu....Kwenye Logic kuna somo la kusets either statement in Falacy au Tautology.
Kutokana na mijadala yetu humu ndani basi Statement nyingi kama 95% kama sio 98% ni Falacies.
Humu ndani huwa tukiwauliza wakenya why SGR yao siyo ya umeme wanasema umeme hautoshi.
Leo kuna mmoja amesema wana umeme 2900MW.
Yaani Umeme Wote huo unashindwa kuendesha Locomotive Train ambayo ni 25kV at 50Hz kweli?...
My Conclusion Kwa Wakenya
1. Serikali yenu imewadanganya kuhusu electrification ya SGR
2. Umeme mlionao ni mdogo sana.
3. Serikali yenu ni ya kisela na mmeiacha ifanye usela na uhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya has 3000MW but yet can't electrify an SGR Locomotive train that consume only 25KV. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeanfika kwa mihemko sana walai
Wivu wako usituletee huku. Huwezi kuongea kuhusu sijui tautology na fallacies na wewe mwenyewe ndio unaengage ni the biggest falacy of all. Jumping to conclusion without evidence. Kuna principle moja ya law inayosema "He who alleges must prove." Yaani yeyote anayetoa madai basi ni jukumu lake kudhibitisha madai hayo. Unaposema kwamba serikali ya Kenya inadanganya na kwamba sisi hatuzalishi umeme huo basi unazungumza ukitumia evidence gani? Au unazungumza bila evidence kama wazimu?Kwenye Logic kuna somo la kusets either statement in Falacy au Tautology.
Kutokana na mijadala yetu humu ndani basi Statement nyingi kama 95% kama sio 98% ni Falacies.
Humu ndani huwa tukiwauliza wakenya why SGR yao siyo ya umeme wanasema umeme hautoshi.
Leo kuna mmoja amesema wana umeme 2900MW.
Yaani Umeme Wote huo unashindwa kuendesha Locomotive Train ambayo ni 25kV at 50Hz kweli?...
My Conclusion Kwa Wakenya
1. Serikali yenu imewadanganya kuhusu electrification ya SGR
2. Umeme mlionao ni mdogo sana.
3. Serikali yenu ni ya kisela na mmeiacha ifanye usela na uhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu iliyotolewa kutoelectrify ni kwamba electricity sio reliable maana SGR inataka dedicated powerline ambayo umeme wake hautapotea hata ikiwa ya national grid itapotea. Sababu haikuwa kwamba we don't have enough electricity.Kenya has 3000MW but yet can't electrify an SGR Locomotive train that consume only 25KV. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Remember, your Railway line costed more than Electified Tanzanian SGR.
You guys must have problem in brain, not rational at all.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mlibadili plan ye kujenga Electric Lines Kwenye SGR Yenu?We jamaa kumbe kichwani mweupe sana
Mtu akikusikia ukiongea anaweza fikiri Tanzania tayari ina SGR inayofanya kazi. . Come slowly. Sio kwa majivuno hayo.Kwa nini mlibadili plan ye kujenga Electric Lines Kwenye SGR Yenu?
1. Hamkuwa na Hela ( But your project cost is twice na Yetu ambayo ni Electrified). [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2. Hamna umeme wa Uhakika ( Mmesema mna 2900MW as for now)
Just to remind you..
1MW === (1KV)*1000
Electric Locomotive Trains ni either DC or AC
Operating Voltage ni 15Kv, 25Kv, ... at 50Hz (Depending na Electric Motors)...
Inaingiaje Akilini kabisa mnajenga less effecient Diesel SGR...
Yaani nyie msije mkashangaa mnalipia the same amount ya Kujenga Reli kwenye electrification...
Utazani mnahuajumiwa kumbe mnaamua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio bado nakwambia huna unachokijua[emoji23][emoji23]Kwa nini mlibadili plan ye kujenga Electric Lines Kwenye SGR Yenu?
1. Hamkuwa na Hela ( But your project cost is twice na Yetu ambayo ni Electrified). [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2. Hamna umeme wa Uhakika ( Mmesema mna 2900MW as for now)
Just to remind you..
1MW === (1KV)*1000
Electric Locomotive Trains ni either DC or AC
Operating Voltage ni 15Kv, 25Kv, ... at 50Hz (Depending na Electric Motors)...
Inaingiaje Akilini kabisa mnajenga less effecient Diesel SGR...
Yaani nyie msije mkashangaa mnalipia the same amount ya Kujenga Reli kwenye electrification...
Utazani mnahuajumiwa kumbe mnaamua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwann[emoji23]We jamaa kumbe kichwani mweupe sana
Asiyejua maana haambiwi maana, we endelea kunengua tuKenya has 3000MW but yet can't electrify an SGR Locomotive train that consume only 25KV. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Remember, your Railway line costed more than Electified Tanzanian SGR.
You guys must have problem in brain, not rational at all.
Sent using Jamii Forums mobile app
You have the point,walipigwaKwa nini mlibadili plan ye kujenga Electric Lines Kwenye SGR Yenu?
1. Hamkuwa na Hela ( But your project cost is twice na Yetu ambayo ni Electrified). [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
2. Hamna umeme wa Uhakika ( Mmesema mna 2900MW as for now)
Just to remind you..
1MW === (1KV)*1000
Electric Locomotive Trains ni either DC or AC
Operating Voltage ni 15Kv, 25Kv, ... at 50Hz (Depending na Electric Motors)...
Inaingiaje Akilini kabisa mnajenga less effecient Diesel SGR...
Yaani nyie msije mkashangaa mnalipia the same amount ya Kujenga Reli kwenye electrification...
Utazani mnahuajumiwa kumbe mnaamua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kilomita mia mbili wameshindwa kujenga halafu wanakuja huku kutupatia lecture. Hahaha. The guts of the people.Ndio bado nakwambia huna unachokijua[emoji23][emoji23]
Pambaneni na mturuki kwanza amalize kile kipande chenu
Hajui anachokisemaHahaha kwann[emoji23]
Mpuuzi huyo nae, jamaa anapiga kelele tu wala hajui anaandika nnHata kilomita mia mbili wameshindwa kujenga halafu wanakuja huku kutupatia lecture. Hahaha. The guts of the people.