Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyans dies for BRT 🤣🤣🤣 hahhah.wkt huo sisi,we'r about to float tender kwa ajili ya phase ya nne. Hizo zingine zote ziko kwenye hatua mbali mbali.Soon tu ya tatu ujenzi utaanza,Kama kwny boxing,Tzee tunapiga pale pale *****!kama tumeamua kulenga jicho ni jicho tu.😂.
Walipo kua wakijenga hizi barabara hawakua na brt in mind? Engineers na experts walikua wapi? Majirani zetu bwana mnatuangusha Sana 🙂
 
Hujui programming kijana. Nakupatia maswali ya kitoto kabisa unashindwa.
Nimekwambia kama unataka kujifunza programming nitakusaidia ujue basics.
Sasa ukinipa Swali jibu lake eti ni STUPID nami nijibu kiujinga mjinga tu eti jibu ni STUPID????
 
Ss fanya kumtafute akupe knowledge wacha kujitutumua, tabia za kikenya zitawakosesha mambo mengi sana duniani hapa.
Hapana swali lenyewe rahisi jibu unaeza ona si la kufikiria anauliza yale maswali ya beginners. Nia yake ilikua unitusi ona kwa hiyo picha nimekutag Soma Jibu kwa hiyo picha
Screenshot_20210122-231235_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom