Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Hawa watu ni wapumbavu kichizi aisee 😅😅😅tv zenu za kishamba sana.. nimejaribu kucheck tv za kenya na Tanzania, za Tanzania hata hazina ujinga wa kuonyesha hayo mambo ya USA.. nyie zenu ndo zinapnyesha .. yan badala zihabarishe au ziibue matatizo ktk jamaa yenu.. zinaonyesha vitu vya nje.. sidhan tv za usa zina mda wa kuonyesha inauguration events za marais wa kenya!!!
Mijitu ipo busy inatokwa povu na mishipa unaweza kufikiria Kenya ni jimbo la Marekani kwa namna wanavyofuatilia mambo ya Marekani, marsabit wanakufa njaa hawana muda nao
