Can I see that 3 'city' aerial view?wakimalizana na horizontal infrastructure ndo tutaanza kuona mabadiliko kwenye huu mji kama Tatu city
😅😅😅😅😅😅😅Mambo yetu hufanywa kimya kimya,si kupayuka kila wakati😁
![]()
Chinese investor promises jobs on tour of Kakamega gold refinery plant site
The successful investor is expected to complete the construction in six monthswww.the-star.co.ke
Meanwhile, wanaume kaziniUliza tena hilo swali lako
Pinga kabisa negua mpka kiuno kivunjike lkn narudia tena haitobadilisha chochote
Hapa kazi tu. Waya za stima high voltage ambazo ziko under construction. Tunapiga kazi bila kubwabwaja.
1. Weka airport ya Mwanza: Banda la kukumzee uzalendo kuntu! 😀 😀 ☝️ watu wanajaribu kufananisha Mwanza na Mombasa! Mwanza inaenda kuwa Johannesburg ya Eas Africa maana headquarters za haya makampuni yanaenda kufungua ofisi Mwanza city!
Ya right...
Nyinyi huwa hamumaintain nyaya zenu za stima? Hamfanyi repair works? Hamuunganishi new customers to the grid? Hizi zote ni sababu za kuzima stima ili wengine nao waunganishwe kwenye grid. Au kama mti imeangukia nyanya za stima lazima repair works ifanyike. Hata USA baada ya Hurricane kuchapa maeneo fulani stima huwa zinapotea inabidi repair zifanywe
Unajua ningekuelewa kama Kenya ingekuwa inafanya kitu inayoitwa "power- rationing". Sisi hatufanyi power rationing kama South Africa au Nigeria au pengine hata Tanzania, mahali ambapo wanazimiwa umeme kila siku nchi nzima kama masaa kadhaa. Sisi ni baadhi ya maeneo na kwa masaa machache kwa sababu ya maintenance
Aisee!