Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Pamoja na kwamba huko kwengine ni majalalani lakini pia wana ukabila wa kutisha, kwa Tanzania ni kawaida mtu wa kusini kuisifia kanda ya ziwa na haoni tabu sababu ni Tanzania ila wao mjaluo hutoona hata siku moja anasifia kwa wakikuyu au wakalenjin yaani hilo ni kosa la jinai, so ukiona wote ni Nairobi tu jua ni sababu za wivu wa kikabila japo Nairobi ni kwa wamasaiKwa nini Wakenya wakiiuzungumzia Kenya hawazungumzii sehemu zingine zaidi ya Nairobi na Mombasa, wakati watanzania wanatoa mifano hata ya mikoa 10
Dar, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, Iringa, Tanga, Morogoro, Kilimanjaro, Ruvuma, Mtwara...
Kwa nini Kenya waliaacha maeneo mengine ya Nchi??


Mbona hutaji Turkana,wajir,mandera na Moyale?Sisi Tanzania
tunataja kona zote za nchi.

