Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna kiwanja chochote kikubwa kwenye Taifa lolote ambacho hakijawahi kuchezesha match yenye team kutoka nje ya Taifa lao (concept of being international)

Kwa hiyo viwanja vyote vijiite international? Hivi wakenya akili zenu huwa zinakaa wapi?

jamaa ni mshamba na mbishi sana

gorma goma sikuhiz kumbe inacheza rugby!??
IMG_1610299423.955735.jpg
 
Walisharudishwa wakarudi tena. Police ilianza kuwapa viboko watu wa human rights wakaingilia. And you have to understand we are a democratic country and not dictatorship country kama Tanzania.
Ila wenyewe kwa wenyewe mnafanyiana ushetani au sio

Ss muambieni Uhuru aache kuwadanganya muambieni warudishe nyumbani kwao hawa watu mana nchi yao ni middle income country lkn pia inafanya mambo makubwa kuliko nchi yetu so tunakuomba uwarudishe kwao, alafu msubiri muone ukweli wa mambo
 
Walisharudishwa wakarudi tena. Police ilianza kuwapa viboko watu wa human rights wakaingilia. And you have to understand we are a democratic country and not dictatorship country kama Tanzania.
Nioneshe evidence mlipowarudisha kimba we
 
Mm wakuu nashindwa ku login twitter kwa kutumia simu yng, nmesahau password, tng simu ya kwnz iharibike (niliipasua kioo) nashindwa kulogin twitter kwa kutumia hii mpya, hata niki create new account inagoma,msaada wandugu.
Mkuu mie mwenyewe Twitter tokea uchaguzi mpaka leo ni marinji rinji,siwezi kufungua bila VPN,pia picha azifynguki kabisa,,iko slow sana...labda ni mimi tuu?sijui.
 
Hii haiingii akilini aisee,Ina maana nchini kwenu mtu anaweza akaingia akajifanya Ni ombaomba kumbe Ni shushushu flani tu, katumwa na nchi yake Kisha akimaliza anasepa zake kiurahirahisi tuajabu hiii!!
Kenya is not the only country that is tolerating Tanzanian beggars in her streets. Kule South Africa mumejazana mkijidanganya kuwa nyinyi ni omba omba kumbe ni wauza Bangi
 
Back
Top Bottom