Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣👇👇👇






6B1B8592-C22F-4EFA-B046-368460268A20.jpeg
929BCEE8-5530-4D0F-8CE1-09FD455AA5EE.jpeg
6959CE42-86C3-4367-840D-8BB49BC6C0CD.jpeg
 
Ila guys kuna kitu nakiona miaka 10 ijayo..Miradi inayotekelezwa Tanzania, biashara za madini na mapinduz ya kiuchumi yanayoambatana na viwanda bila kuhusahau sekta ya entertainment kwenye mpira na music inavyolipa hapa Tanzania mpaka Wakenya kutamani basi miaka michache ijayo tujiandae kupokea wazamiaji wengi sana kutoka kenya kuja kusaka maisha yaan hili naliona kabisa.
 
Ila guys kuna kitu nakiona miaka 10 ijayo..Miradi inayotekelezwa Tanzania, biashara za madini na mapinduz ya kiuchumi yanayoambatana na viwanda bila kuhusahau sekta ya entertainment kwenye mpira na music inavyolipa hapa Tanzania mpaka Wakenya kutamani basi miaka michache ijayo tujiandae kupokea wazamiaji wengi sana kutoka kenya kuja kusaka maisha yaan hili naliona kabisa.
Mbn miaka 10 mingi mkuu, tegemea hilo kutokea less than 5yrs from today, ila Mungiki wanakabwa saivi itakuwa ngumu kujazana huku labda aje Rais mtakatifu.
 
Back
Top Bottom