Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Piga hayo makamongo
Hakuna shule ya maana serikali yao inamiliki
Piga hayo makamongo
Wacha kuweka maneno ya kukebehi ikulu bana...hakuna ikulu isiofanyiwa ukarabati...sasa hata kurudia rangi ni hadi mzungu ajeUtaambiwa state house, jamuhuri high schoolView attachment 1668677View attachment 1668678
HahahahaaaaaaaaaaaaaaSio kila kitu nichakupost,
Ikulu ya Kunyaland au sioUtaambiwa ikulu, Nairobi school
View attachment 1668679View attachment 1668680View attachment 1668681View attachment 1668682








Hii kitu inafanana na prison ikuwe international school?
Asante kwa kuipa sifa ya International school Govt school za Tz, nadhani ghorofa na mandhari ndio vinakuchanganya, eti international schoolView attachment 1668720
Boy uko na kichaa? No country in East and central Africa can come any close to Kenya ikija public school, umelewa na many posts mumetuma humu sasa unadhani eti basi, nimeona mkijibiwa na za msingi wengi wenu mnapinga eti private, have seen all schools you have posted, ndio maana nakuambia fungua uzi then repost all nikufunze mambo ya shule East Africa, and I bet Uganda is above you in public schools!🤣🤣🤣🤣 Shule mlizopost hata hazifiki 15 wakati sie tumeweka zaidi ya 60 nchi nzima kasoro Dar 😅😅😅
Na bado ninazo hapa mpaka nachanganyikiwa 🤣
Usinikimbie ndugu twende taratibu.Sasa hii takataka nani alisema ni international school?Hii kitu inafanana na prison ikuwe international school?
![]()
Utaambiwa ikulu, Nairobi school
View attachment 1668679View attachment 1668680View attachment 1668681View attachment 1668682










Aibu sn , hebu weka ile hesabu ya za Tz




Ua kabisa 🤣🤣🤣Hahahahahahaha. Hakuna shule owned by government huko Kenya
View attachment 1668707
Hupigi mtu kamba hapa, mna Govt school 105 tu na wote tunajua humuDo you understand the meaning of national Secondary schools?.
In Kenya Secondary schools are divided into categories.
1. District Schools
2. County Schools
3. Extra County Schools
4. National Schools.
Sasa wewe ukiona hapo imeandikwa national school wewe jua ni category four![]()




Ikija mambo ya education and educational facilities in East Africa hapa I can embarrass them fair and square! Utafiti upo wazi, watakupa vipicha vya the best they have, Uganda beats them clean!! Niko na research data ya EAC! hapa ni domo domo na vipicha kama kawaida😂😂, yani huu uzi uli derail long ago!,.I thought will find something meaningful kumbe bado wanatapatapa tu, feel good arguments!Sasa hii takataka nani alisema ni international school?Hii kitu inafanana na prison ikuwe international school?
![]()
Unajitoa akili eti?When? Tag me right now!! been off JF for over a month you idiot, ikija miji hamjuniwezi kamwe., nawaumbua na kuwafumania, pengine wakenya wenye hawaijui hiyo dead state, kindly weka hapa hiyo thread sasa hivi nione!! do it now....,
We have 3000 public schools in KenyaHupigi mtu kamba hapa, mna Govt school 105 tu na wote tunajua humu![]()







Nimemquote mwnezako aliyeukiza..Ameona moto kwenye battle ya shule anaanza kuchange gear hahahahaa hizi mambo ziache kwnz tuendelee na battle ya shule![]()


Ila adabu mmeipata kwa ss, so mjue kwmb Tz inamaanisha nn, tumepambana mpk kufika hapa tulipo kwmbMnajengaje shule nyie
Yano km magodown hayeleweki eleweki..
Shule sio kujijengea madarasa tu kiboya boya hvo




Mwaka 2017 za serikali zilikuwa 3603Aibu sn , hebu weka ile hesabu ya za Tz![]()
Hiyo sio technical ni Agricultural Secondary School of course mfumo wa elimu yetu ni tofauti na wenuUmekimbia Secondary schools umerudi kwa technicals sasa?![]()
kuweni makini na schools walixoweka hawakawii kumix na private....Baba kama ulivyosema utawapiga kipigo cha mbwa koko, basi wamekoma baba![]()


Hyo ndio Arusa meru schoolAsante kwa kuipa sifa ya International school Govt school za Tz, nadhani ghorofa na mandhari ndio vinakuchanganya, eti international schoolView attachment 1668720

