President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,057
- 93,451
Weka orodha ya shule zenyu kama tulivyoweka sisi.Bado ndo naanza, moi kabarak highView attachment 1668380View attachment 1668381
Weka orodha ya shule zenyu kama tulivyoweka sisi.Bado ndo naanza, moi kabarak highView attachment 1668380View attachment 1668381
Na kuna wengine husema safaricom Ni ya mzungu na wao hawana ,haha😁💪
Baba kama ulivyosema utawapiga kipigo cha mbwa koko, basi wamekoma baba [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii yote mwenzio kashapost rudi page za nyuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mukuru kaiyaba, shule za slumsView attachment 1668288View attachment 1668289
Nazijua vzr ndio maana nikawapa bakora jana hio hio 🤣🤣🤣ichoboy01 kuja uone shule za kenya zinavyokaa, yn ni mwendo wa bati na hakuna rangi wala nn [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]View attachment 1668332
Wakati watu wamejenga dampo la bilioni 9 na haliko moja [emoji116][emoji116]Yaani mapema Sana tuwapige kwenye miundo mbinu yote,usafi,mpangilio,utaratibu hatuachi kitu nyuma Ila ndungu zetu mambo kama haya yanatia kinyaa Sana,hivi Kenya hakuna bwana afya? Hivi mkurupuko wa magonjwa ukitokea inakuaje?[emoji849]
Hahahaha ndio kwaaanza nafuta vumbi mafileBaba kama ulivyosema utawapiga kipigo cha mbwa koko, basi wamekoma baba [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaaaa, wanatamani kusema tuachane na hii battle ya shule [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha ndio kwaaanza nafuta vumbi mafile
Waombe tu twende Mashambani, tuwaoneshe vile tunaweza kuwalisha miaka 100Hahahaaaa, wanatamani kusema tuachane na hii battle ya shule [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yes all areas of development. That's why your electricity connectivity is still at 30%[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji116][emoji116]View attachment 1664880