Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Onesha basi assembly plant kelele za nn naona toka jana munahangaika hamujalala
Hahaha I can feel your
FB_IMG_16096707914755189.jpeg
 
Atakae
Acha kuchange gear bana. Ulisema hakuna magari za Scania that are being assembled in Kenya. Ama sio wewe mwenye alisema hivo jana
narudia kukuuliza hio ndio
Plant aseemly ya scania 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wamekeambia they are assembling their trucks in Mombasa. Those trucks include hadi zile zenye zinatumika Tanzania. Jana na juzi your gear was saying that there is no Scania that is being assembled in Kenya, leo gear imevunjika ama wewe ndio amebadilisha?
Hahahahhahaha bado unahangaika kutafuta plant ya scania kenya
IMG_20210104_115046_263.JPG
 
Naunga mkono hoja.
Ninaitafuta hii post ya Geza Ulole ili niunge mkono lakini sijaiona. Kadogosa anapaswa kuwajibishwa haraka Sana, hii ajali ingezuilika, lazima kuwepo na "Safety check" kabla ya train kupita, katika kipindi cha mvua ni kosa kupitisha train yoyote bila bila kufanya "Safety check".

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wamekeambia they are assembling their trucks in Mombasa. Those trucks include hadi zile zenye zinatumika Tanzania. Jana na juzi your gear was saying that there is no Scania that is being assembled in Kenya, leo gear imevunjika ama wewe ndio amebadilisha?View attachment 1667431
Hahahahhahahqhqhqhqhqhhqhq wao nani ataamini kama hio ni id yao ya ukweli au na mm nitengeze id kama yao alaf nijibu maswali yako sasa hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mm nakwambia teargass tena kwa herufi kubwa siku utapata plant aseembly in kenya mm nafunga acc jamii forum 😀😀😀
 
Hahahahhahahqhqhqhqhqhhqhq wao nani ataamini kama hio ni id yao ya ukweli au na mm nitengeze id kama yao alaf nijibu maswali yako sasa hvi

Mm nakwambia teargass tena kwa herufi kubwa siku utapata plant aseembly in kenya mm nafunga acc jamii forum
Hehehe eti mtu ametengeza ID? Why can't you ask them and show us what they told you? I know you have already did but the answer you got can't allow you post it here
 
Back
Top Bottom