Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakwambia ww zunguka ila siku utapa plant assembly in kenya mm nafunga acc jamii forum hakuna mjinga humu ndani
Leo watu wa Scania wamekuwa waongo?
IMG_20210104_111017_278.jpeg
IMG_20210104_113310_275.jpeg
IMG_20210104_115046_263.JPG
 
@Teargass kuna mwngine hku anatafuta mchawi nani
Anataka kupindisha kilichosemwa na scannia east africa
Narudia maneno yangu siku utapata ww na mwenzako plant ya scania kenya munitah nifunge acc🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
AVA sio ya Scania lakini malori za Scania are assembled there Hadi za Tanzania are assembled thereView attachment 1667412
Scania wapo zaidi Tanzania kuliko Kenya, hawawezi kuweka plant sehemu wanapouza gari 5 kwa mwaka, waache sehemu wanauza gari 100 kwa mwaka

Screenshot_20210104-133006.png


Technically ava ni watengeza masufuria kwa chassis za Scania
 
Jamaa kashachange gear
Kwan gear yangu ilikua ni ipi toka jana sio ww ukaanza kupost hzi picha 🤣🤣👇👇 ukatapata tapa huku nakuangalia pumzi yako 🤣🤣🤣👇👇👇 narudia siku ukipata plant ya scani kenya nafunga acc
90B70486-F18B-42DA-BD91-C534884DD588.jpeg
 
Acha kuchange gear bana. Ulisema hakuna magari za Scania that are being assembled in Kenya. Ama sio wewe mwenye alisema hivo jana
Achana naye huyo kaja kw ajili ya kuvuruga mada, mbishi wetu huyo
 
Scannia wamesema AVA ndio magari yao yanakua assembled
Sasa wewe ukitaka liaeeee ukichoka si utatua tu..

Teargass huyu jamaa muache apige kelele akichoka atatulia tu
Onesha basi assembly plant 🤣🤣🤣🤣 kelele za nn naona toka jana munahangaika hamujalala
 
Back
Top Bottom