Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna assembling plant ya more than 7 brands, ava inadeal na magari yote mnayosema mnaassemble Kenya nzima
I can feel your pain
IMG_20210104_115046_263.JPG
 
Karakana haina tofauti na gereji wewe unasemaje msomi..
Ni sehemu ya kufanyia nini mswahili
Aaah Kumbe haina tofauti ni gereji kwa hiyo inaweza ikawa vitu viwili tofauti sindio? Pia kama assembling plant msijifanye wajanja majirani🙂
 
Aaah Kumbe haina tofauti ni gereji kwa hiyo inaweza ikawa vitu viwili tofauti sindio? Pia kama assembling plant msijifanye wajanja majirani
Karakana ni garage. What you most there is vehicles repair
 
ichoboy01 alikuwa anasema akionyeshwa assembly plant yoyote ya scania iliyopo Nairobi atafunga account.. kuna jamaa alikuwa anatuma picha, anasema zipo nairobi.. leo analetewa ujumbe kuwa kuna garage (not scania owned) ipo mombasa ndo inatengeneza magari (trucks) za Scania! this means that jamaa hajui anachoongelea, akatuma hadi picha , “no brain, just vibes”

automobile company gani eti inafanya assembly kwenye plant isiyo yake? hio sio plant, ni garage tu ya mtu ndo inafanya matengenezo! ichoboy01 yuko sahihi.. akionyeshwa assembly plant ya scania atafunga account
 
ichoboy01 alikuwa anasema akionyeshwa assembly plant yoyote ya scania iliyopo Nairobi atafunga account.. kuna jamaa alikuwa anatuma picha, anasema zipo nairobi.. leo analetewa ujumbe kuwa kuna garage (not scania owned) ipo mombasa ndo inatengeneza magari (trucks) za Scania! this means that jamaa hajui anachoongelea, “no brain, just vibes”

automobile company gani eti inafanya assembly kwenye plant isiyo yake? hio sio plant, ni garage tu ya mtu ndo inafanya matengenezo! ichoboy01 yuko sahihi.. akionyeshwa assembly plant ya scania atafunga account
So umeogopa kuniquote
IMG_20210104_111017_278.jpeg
IMG_20210104_115046_263.JPG
 
Ava sio scania mzee so hawana mandate ya intervention of any scania products in East Africa, unavyosema lazima kila scania au scania zote Tanzania zimepita ava inaonesha ulivyo wa kutia huruma
AVA sio ya Scania lakini malori za Scania are assembled there Hadi za Tanzania are assembled there
IMG_20210104_115046_263.JPG
 
They want you to believe that Scania East Africa is now lying
Sai imekua scannia ndio wanadanganya jamani
Kweli nimeamini msemo wako ya kwamba watz wanaogopa sana facts, wao zao ni kupiga domo tu
 
Tanzania na Kenya zikifungiana mipaka upande upi utaumia zaidi?
 
Back
Top Bottom