Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
I can feel your painHakuna assembling plant ya more than 7 brands, ava inadeal na magari yote mnayosema mnaassemble Kenya nzima






I can feel your painHakuna assembling plant ya more than 7 brands, ava inadeal na magari yote mnayosema mnaassemble Kenya nzima






Onesha hyo assembly plant kwnn mnaruka icho kipengeleKw akili yako karakana ni plant ya ku assemble vitu






Aaah Kumbe haina tofauti ni gereji kwa hiyo inaweza ikawa vitu viwili tofauti sindio? Pia kama assembling plant msijifanye wajanja majirani🙂Karakana haina tofauti na gereji wewe unasemaje msomi..
Ni sehemu ya kufanyia nini mswahili
They want you to believe that Scania East Africa is now lyingWangeli reply basi wala wasingelitumia neno assembled katika hyo conversation..
Au we waonaje, wanadanganya sio![]()


Karakana ni garage. What you most there is vehicles repairAaah Kumbe haina tofauti ni gereji kwa hiyo inaweza ikawa vitu viwili tofauti sindio? Pia kama assembling plant msijifanye wajanja majirani![]()



, “no brain, just vibes”


So umeogopa kuniquoteichoboy01 alikuwa anasema akionyeshwa assembly plant yoyote ya scania iliyopo Nairobi atafunga account.. kuna jamaa alikuwa anatuma picha, anasema zipo nairobi.. leo analetewa ujumbe kuwa kuna garage (not scania owned) ipo mombasa ndo inatengeneza magari (trucks) za Scania! this means that jamaa hajui anachoongelea, “no brain, just vibes”
automobile company gani eti inafanya assembly kwenye plant isiyo yake? hio sio plant, ni garage tu ya mtu ndo inafanya matengenezo! ichoboy01 yuko sahihi.. akionyeshwa assembly plant ya scania atafunga account






Wasagie hao
Yaani we subiri tu kuna kunguni wapo kwenye blender, angoje tu kidogo![]()

nakuja kushindiliaKubishana na huyo is the wastage of time. Achaneni nayeAva sio scania mzee so hawana mandate ya intervention of any scania products in East Africa, unavyosema lazima kila scania au scania zote Tanzania zimepita ava inaonesha ulivyo wa kutia huruma
AVA sio ya Scania lakini malori za Scania are assembled thereAva sio scania mzee so hawana mandate ya intervention of any scania products in East Africa, unavyosema lazima kila scania au scania zote Tanzania zimepita ava inaonesha ulivyo wa kutia huruma


Hadi za Tanzania are assembled there




Nakwambia ww zunguka ila siku utapa plant assembly in kenya mm nafunga acc jamii forum hakuna mjinga humu ndani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama vile Ava🙂Karakana ni garage. What you most there is vehicles repair![]()
Sai imekua scannia ndio wanadanganya jamaniThey want you to believe that Scania East Africa is now lying![]()


Hahhahaa acha aendelee kutafuta plant akipata tu naombeni munitag 🤣🤣🤣🤣Na kama hii behavior ni ya vijana wote wa kenya mna safari ndefu sana.
Ukitaka kukosana na mtanzania mwambie ukweliSai imekua scannia ndio wanadanganya jamani
Kweli nimeamini msemo wako ya kwamba watz wanaogopa sana facts, wao zao ni kupiga domo tu



@ Teargass kuna mwngine hku anatafuta mchawi naniHahhahaa acha aendelee kutafuta plant akipata tu naombeni munitag![]()


Jamaa wamekuja juu kiukwel, yani wakikupata wanakurogaUkitaka kukosana na mtanzania mwambie ukweli![]()