Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mobius is manufactured in Kenya. Tanzanians have started 2021 by not believing that Kenya is ahead of them in everything . The vehicles are now being used by our police service.


View attachment 1665909
Kama hicho ni kigezo cha kua ahead then sisi tumewaacha mbali sana HANSPAUL zimekua zikitumika kwenye utalii, NYUMBU kweye majeshi na CARMATEC kwenye kilimo sasa nani yupo mbele hapo na ujue HANSPAUL ilianza tangu 2007, NYUMBU tangu miaka ya 70 that's why tunatengeneza hadi tanks
 
Mr Mapadlocks anapewa kichapo kweli kweli, anadhani hapo ni Tanzania yenye ataiba kura

View attachment 1666511

hili suala binafsi silifuatilii sana... na kwa Magu sijajua ina faida gani! lkn kuweko kwake kwenye hio list kuna kitu dunia kimeonyeshwa au waandaaji kuna kitu wamekiona toka kwa Magu! kwann asiwepo Paul Kagame? au wa kule misri au wa taifa lolote la Africa? au Uhunye?? Kwann Magu????

in short, waandaaji kuna kitu wamekiona kwa Magu au kwa hao wengine watatu!
hata Magu akiwa wa mwisho.. kuna kitu Africa pamoja na waandaaji wamekiona kwa Magu
 
usiangaike na hivyo “vivumishi/adjective vyao” ni kawaida yao kusema maneno kama haya
“the most beautiful in Africa“ “the fastest in Africa“ “the busiest in Africa“ the most hardworking in Africa”

hata SGR yao wanaiita the only one class 1 SGR in Africa lkn kuhalisia mnaujua wenyewe
Hawa jamaa bana wanafrahisha sana
 
hili suala binafsi silifuatilii sana... na kwa Magu sijajua ina faida gani! lkn kuweko kwake kwenye hio list kuna kitu dunia kimeonyeshwa au waandaaji kuna kitu wamekiona toka kwa Magu! kwann asiwepo Paul Kagame? au wa kule misri au wa taifa lolote la Africa? au Uhunye?? Kwann Magu????

in short, waandaaji kuna kitu wamekiona kwa Magu au kwa hao wengine watatu!
hata Magu akiwa wa mwisho.. kuna Africa pamoja na waandaaji wamekiona kwa Magu
Na hii issue sidhani kama ni serious. Also sidhani kama kuna faida yoyote kwa taifa letu.
 
Wewe ni mdogo sana kwangu. IQ yako ipo chini mno. Naweza kukuchezesha gwaride muda wote.

Ukija kwenye facts mimi nina data nyingi.
Education nakuzidi
Exposure nakuzidi.
Sasa education yako ya class seven ndio unapiga nayo kelele hapa? Mbona usieke certificates zako hapa kulinganishe na zangu
 
Yule jamaa wa kenya nilimwambia atulie.
Halafu akaanza kupiga kelele eti naifananisha kenya na China!!!

Nikamwambia atulie mimi ni mtaalamu wa psychology.
Sasa hivi amejificha atakuja na mada nyingine. Ninajua jinsi ya kum switch on and off.
yule si chizi wa mathare kapata fursa ya kutumia android
 
Tanzanians this is not a train, these are trucks heading to Uganda, Rwanda, DRC and Burundi after they have been onloaded with cargoes at Naivasha dry port. Natamani tena kusikia hile ngoma ya waganda wanapenda bandari ya DarView attachment 1666519
Weka ushahidi kwamba hizi zinatoka Naivasha port, most likely they come from Mombasa straight, Ugandans refused to use your expensive SGR services, wacha kujidanganya, SGR is white elephant, nor one wants to use it.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wards in Dar es salaam

A
Azimio
B
Buguruni
Bunju
C
Chamazi
Chang'ombe
Chanika (Tanzanian ward)
Charambe
G
Gerezani
Goba (Tanzanian ward)
H
Hananasif
I
Ilala (Ilala ward)
J
Jangwani
K
Kariakoo
Kawe (Tanzanian ward)
Keko (administrative ward)
Kibada
Kibamba
Kigamboni
Kigogo
Kijitonyama
Kimara
Kimbiji
Kinondoni (ward)
Kinyerezi
Kipawa (Tanzanian ward)
Kisarawe II
Kisutu
Kitunda
Kivukoni
Kiwalani
Kunduchi
Kurasini
M
Mabibo
Magomeni
Makangarawe
Makuburi
Makumbusho
Makurumula
Manzese
Mbagala
Mbagala Kuu
Mbezi
Mburahati
Mbweni, Dar Es Salaam
Mchafukoge
Mchikichini
Miburani
Mjimwema, Temeke
Msasani
Msongola
Mtoni, Dar Es Salaam
Mwananyamala
Mzimuni
N
Ndugumbi
P
Pemba Mnazi
Pugu, Tanzania
S
Sandali
Segerea
Sinza
Somangira
T
Tabata (ward)
Tandale
Tandika
Temeke (Tanzanian ward)
Toangoma
U
Ukonga
Upanga East
Upanga West
V
Vijibweni
Vingunguti
Y
Yombo Vituka
Umesahau ubungo,ubungo kisiwani,ubungo kibangu,ubungo makoka.
Kimara nayo.
 
Hakuna kitu unanizidi hata kidogo. Nimekuambia uweke certificates zako hapa za shule tuone kati yangu na wewe na ameelimika kuliko mwenzake
Standard seven ya TZ ni sawa na High School ya kenya.

Vilevile nilisahau
Pesa nakuzidi, Maisha mazuri nakuzidi.
 
Back
Top Bottom