Kila kitu kwao ni batiliHahahaha mm mwenyewe nmesoma Economics A level (nilichukua EGM) nikasoma Economics chuo km somo tu, ila huyu Economics zake huwa zinanishangaza sn![]()



Tofauti yetu na kwao ni kuwa toll yetu inabaki Tanzania kufanya maendeleo wakati toll yao itakuwa inaenda ChinaWw fala pension fund ni pesa za wananchi ni lazima zirudi mpuuzi ww.



Ndio hizi trucks mpya mpya direct from assembly plant in Mombasa roadNioneshe truck moja ya scania inayokua assembled kenya ukipata tag me plznaona kichaa kimekupanda



Fanya utafiti uje utuumbue muaminifuSasa umeorodhesha makes. Tuambie majina ya viwanda view navyo assemble.
Never ever trust Kenyans in anything kwikwikwi. Lazima wapige longo longo.
Hawa watu mbn wanakuja kwa speed ya light huku kwetu, wameambiwa hakuna covid basi wanataka kuhamia huku huku, kuna jamaa yangu ni game kule anasema wapo wengi mno na wamegoma kuondoka



Yani leo unatudanganya kua kenya ina assemble scania trucks 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio hizi trucks mpya mpya direct from assembly plant in Mombasa road
View attachment 1665898View attachment 1665899View attachment 1665901
Mambo ya Kenya ni yenu. Mimi nafanya utafiti vitu vya maana kama cosmology, How to make hydrogen bomb nk. Vitu vya kuhusu Kenya ni vyenu watoto msio na uwezo wa kufikiri. HahahahahaFanya utafiti uje utuumbue muaminifu
Huu mlima kiuhalisia ni mrefu kuliko yote duniani sema basi tu, ule mlima Everest picha linaanza upo milimani tofauti na Kilimanjaro unaoanzia ground, cku moja nitaeleweka tu.
Ww siku ukipata assembly plant ya scania kenya mm nafunga acc🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio hizi trucks mpya mpya direct from assembly plant in Mombasa road
View attachment 1665898View attachment 1665899View attachment 1665901
Mobius is manufactured in Kenya. Tanzanians have started 2021 by not believing that Kenya is ahead of them in everythingKwamba sio ku assemble bali mnaunda gari, wallahi ww una lana ww sio bure![]()


. The vehicles are now being used by our police service.
Gap la gani hilo wakati mnafanya vitu ambavyo baba yenu alifanya enzi zileKishabiki au co kwmb huoni gap tunalowapiga au sio![]()


Sasa anapingana na watu wa Scania?Yani leo unatudanganya kua kenya ina assemble scania trucks![]()
Ukipata sehemu scania wana assembly plant kenya mm nafunga acc jamii forum narudia tena
View attachment 1665907





View attachment 1665920