spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Yu wapi Mlevi wa Chang'aa toka KunyalandMr Mapadlocks anapewa kichapo kweli kweli, anadhani hapo ni Tanzania yenye ataiba kura
View attachment 1666511
Yu wapi Mlevi wa Chang'aa toka KunyalandMr Mapadlocks anapewa kichapo kweli kweli, anadhani hapo ni Tanzania yenye ataiba kura
View attachment 1666511
Huyo mchawi sidhani kama counting itaisha akiwa number 3Yu wapi Mlevi wa Chang'aa toka Kunyaland


hii ni moja ya tofsuti kubwa sana baina ya Tz na kenya....Tuje huku sasa. Mungu wangu
Garissa City Republic of Kenya
View attachment 1666482View attachment 1666483View attachment 1666484View attachment 1666486
hivi hao nao wanajivunia kuwa wakenyaWajir city Capital of Wanjir County in The Republic of Kenya
Mama yangu
View attachment 1666488View attachment 1666489View attachment 1666490View attachment 1666491













huna hoja tembea uje ujioneee,,nafikiri hiyo kauli yako utaivunja...Aibu ya nini ? Ama aibu ya venye CBD ya Dar ni chafu with unpaved roads?![]()








daah,,hadi huruma,,mwambie azunguke tz nzima ajionee mazuri
I can see some changes... NicePics of Nairobi on the 1day of 2021
View attachment 1664559
tukiwaambia kuwa wao in reality life yao ni more than poverty wanajitutumua ili kujifurahishaIsiolo City Capital of Isiolo County in Kenya
View attachment 1666525View attachment 1666526View attachment 1666528View attachment 1666529



hii wasouth inabidi wawashtaki ,jina la mandera halipaswi kabisa kuwa sehemu njaa na ufukara kama hiyoMandera City Capital of Mandera County Kenya
View attachment 1666531View attachment 1666532View attachment 1666533View attachment 1666534



Yule jamaa wa kenya nilimwambia atulie.hii wasouth inabidi wawashtaki ,jina la mandera halipaswi kabisa kuwa sehemu njaa na ufukara kama hiyo
we jamaa mtu m'baya sana umecheza na akili yangu, ungechelewa kidogo tu nilikuwa naelekea hii sector
Please can you give us the name of hotel


. On the other hand I Dar is known for its lack of paved roads in the CBD
huna hoja tembea uje ujioneee,,nafikiri hiyo kauli yako utaivunja...
wenzako huku asilimia kubwa tunao argue tunaijua nairobi nnje ndani kadig city unakamaliza chap kuround.....
haturopoki