Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe unajua Nairobi kwa jina tu, hujaifika na hutawahifika pia. On the other hand I Dar is known for its lack of paved roads in the CBD
shukran kwa taarifa.....
check M.pesa apo kuna mtonyo nimekuingizia...

leo kunywa wine or bear achana na chang'aa
20210103_152036.jpg
 
Tuanze na elimu kwanza, ulisema umenizidi in education. Prove your point by posting your certificates here and I will also do the same. Ukishafanya ndio tuende next
Hii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.

Watu tulioelimika hivi vitu vya certificates tunawaachia watoto kama nyie bado hamjaijua dunia.
Unajua Cosmology!?
Nimesoma Cosmology kwa miaka miwili
Iran.
Nimesoma International Politics and Economic three years China

Nimesoma Socialism and Development China

Nimesoma Information Technologies and Communication two years Israel

Nimesoma Psychology and Intel miaka miwili Russia.

Degree yangu ya kwanza nimesoma University of Dar es Salaam (Mathematics)

Hebu niambie sasa wewe umesoma nini!?
 
hadi hapo tiyar kuna utoto kashauonyesha anataka upost certificate
Jamaa wako kashakimbia. How will you prove to somebody that you are educated without evidence? Ama unadhani kila mtu ni wa kuongea empty words like you?
 
Unakaa mshamba
mshamba tena sana si kidogo..hapo ni kitambo sana now ni mwili nyumba,,,,ila muone huyo mkenya mwenzako pembeni kavaa bwanga .....
huyo jamaa alikuwa ni mshamba sijawahi kuona now yupo dar kawa mjanja anawala tuta dada zake wa hapo nairobi kama hana akili nzuri
 
Hii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.

Watu tulioelimika hivi vitu vya certificates tunawaachia watoto kama nyie bado hamjaijua dunia.
Unajua Cosmology!?
Nimesoma Cosmology kwa miaka miwili
Iran.
Nimesoma International Politics and Economic three years China

Nimesoma Socialism and Development China

Nimesoma Information Technologies and Communication two years Israel

Nimesoma Psychology and Intel miaka miwili Russia.

Degree yangu ya kwanza nimesoma University of Dar es Salaam (Mathematics)

Hebu niambie sasa wewe umesoma nini!?
Thanks for writing composition. Everything you are saying is nonsense if you can't provide evidence.
 
Hii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.

Watu tulioelimika hivi vitu vya certificates tunawaachia watoto kama nyie bado hamjaijua dunia.
Unajua Cosmology!?
Nimesoma Cosmology kwa miaka miwili
Iran.
Nimesoma International Politics and Economic three years China

Nimesoma Socialism and Development China

Nimesoma Information Technologies and Communication two years Israel

Nimesoma Psychology and Intel miaka miwili Russia.

Degree yangu ya kwanza nimesoma University of Dar es Salaam (Mathematics)

Hebu niambie sasa wewe umesoma nini!?
Daah hv kuna haja gani kumuua mende na nyundo
 
hapo ni kitambo sana now ni mwili nyumba,,,,ila muone huyo mkenya mwenzako pembeni kavaa bwanga .....
huyo jamaa alikuwa ni mshamba sijawahi kuona now yupo dar kawa mjanja anawala tuta dada zake wa hapo nairobi kama hana akili nzuri
Thanks for posting that picture, I'll be using it in trolling you. Kwanza viatu ni za mtumba kama sijakosea
tapatalk_1609676598941.jpeg
 
Wewe leta hapa elimu yako tukuulize maswali. Ukiweza kuyajibu.
Tuambie umesomea nini tukuulize maswali
Unataka nilete yangu wakati yako umeshindwa kuleta? I doubt hata kama umemaliza Primary School
 
Back
Top Bottom