President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Pesa nakuzidi unabisha!?Hakuna kitu unanizidi hata kidogo. Nimekuambia uweke certificates zako hapa za shule tuone kati yangu na wewe na ameelimika kuliko mwenzake![]()
Pesa nakuzidi unabisha!?Hakuna kitu unanizidi hata kidogo. Nimekuambia uweke certificates zako hapa za shule tuone kati yangu na wewe na ameelimika kuliko mwenzake![]()
Tuanze na elimu kwanza, ulisema umenizidi in education. Prove your point by posting your certificates here and I will also do the same. Ukishafanya ndio tuende nextPesa nakuzidi unabisha!?


Kama sio mkikuyu, Kalenjin au Jaluo, asahau kuwa rais Kenya, only in Tanzania anybody can be a president, Kenya ni kabila tatu au nne pekee ndio zenye haki ya kuwa rais.i hope we get serious candidates like thisView attachment 1666543
shukran kwa taarifa.....Wewe unajua Nairobi kwa jina tu, hujaifika na hutawahifika pia. On the other hand I Dar is known for its lack of paved roads in the CBD
![]()



You reason like a toddlerTufanye hivi sasa.
Nairobi has 16 wards
Dar es salaam has 71 wards.
Kwanza hapo tu ni bao la kisigino.
Unakaa mshambashukran kwa taarifa.....
check M.pesa apo kuna mtonyo nimekuingizia...
leo kunywa wine or bear achana na chang'aaView attachment 1666552



Alafu anasema kuwa ameelimikaYou reason like a toddler
Number of wards really



hadi hapo tiyar kuna utoto kashauonyesha anataka upost certificatePesa nakuzidi unabisha!?




Hii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.Tuanze na elimu kwanza, ulisema umenizidi in education. Prove your point by posting your certificates here and I will also do the same. Ukishafanya ndio tuende next![]()
Jamaa wako kashakimbiahadi hapo tiyar kuna utoto kashauonyesha anataka upost certificate![]()


. How will you prove to somebody that you are educated without evidence? Ama unadhani kila mtu ni wa kuongea empty words like you?

mshamba tena sana si kidogo..hapo ni kitambo sana now ni mwili nyumba,,,,ila muone huyo mkenya mwenzako pembeni kavaa bwanga .....Unakaa mshamba![]()
Duh!! Yamekuwa hayo tena.You reason like a toddler
Number of wards really
Thanks for writing compositionHii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.
Watu tulioelimika hivi vitu vya certificates tunawaachia watoto kama nyie bado hamjaijua dunia.
Unajua Cosmology!?
Nimesoma Cosmology kwa miaka miwili
Iran.
Nimesoma International Politics and Economic three years China
Nimesoma Socialism and Development China
Nimesoma Information Technologies and Communication two years Israel
Nimesoma Psychology and Intel miaka miwili Russia.
Degree yangu ya kwanza nimesoma University of Dar es Salaam (Mathematics)
Hebu niambie sasa wewe umesoma nini!?


. Everything you are saying is nonsense if you can't provide evidence

.Hii tu inadhihikisha kuwa elimu yako ni ndogo. Vitu vidogo tu vinakushinda.
Watu tulioelimika hivi vitu vya certificates tunawaachia watoto kama nyie bado hamjaijua dunia.
Unajua Cosmology!?
Nimesoma Cosmology kwa miaka miwili
Iran.
Nimesoma International Politics and Economic three years China
Nimesoma Socialism and Development China
Nimesoma Information Technologies and Communication two years Israel
Nimesoma Psychology and Intel miaka miwili Russia.
Degree yangu ya kwanza nimesoma University of Dar es Salaam (Mathematics)
Hebu niambie sasa wewe umesoma nini!?



Daah hv kuna haja gani kumuua mende na nyundoWewe leta hapa elimu yako tukuulize maswali. Ukiweza kuyajibu.Jamaa wako kashakimbia. How will you prove to somebody that you are educated without evidence? Ama unadhani kila mtu ni wa kuongea empty words like you?
![]()
Thanks for posting that picture, I'll be using it in trolling youhapo ni kitambo sana now ni mwili nyumba,,,,ila muone huyo mkenya mwenzako pembeni kavaa bwanga .....
huyo jamaa alikuwa ni mshamba sijawahi kuona now yupo dar kawa mjanja anawala tuta dada zake wa hapo nairobi kama hana akili nzuri


. Kwanza viatu ni za mtumba kama sijakosea




Unataka nilete yangu wakati yako umeshindwa kuleta?Wewe leta hapa elimu yako tukuulize maswali. Ukiweza kuyajibu.
Tuambie umesomea nini tukuulize maswali


I doubt hata kama umemaliza Primary School


ndiyo ni za mtumba,,tena haitoshi niliazima kila kitu kwa mchina,,,,sikuwa na nguo huko niliingia nai uchi..Thanks for posting that picture, I'll be using it in trolling you. Kwanza viatu ni za mtumba kama sijakosea
View attachment 1666555
Hapo nimemuonesha kidogo just 1% of me.Daah hv kuna haja gani kumuua mende na nyundo
Sijakuambia ulete certificate. Leta professional yako. Tukuhoji maswali.Unataka nilete yangu wakati yako umeshindwa kuleta?I doubt hata kama umemaliza Primary School
![]()