Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,227
- 33,444
Kwani jeshi letu huwa inauzia nchi zingine silaha ndio itoe report?[emoji23][emoji23][emoji23] Mbona umechanganyikiwa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]ni mbuzi kweli.
ndio maana nikakuuliza unadhani uzalishaji na uuzaji wa silaha ni kama kuuza mabeseni ya kuogea[emoji23][emoji23].
eti riport ya mwaka,leta ya jeshi lenu sasa kama ni simple namna hiyo.