joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Nimekuambia system ya mashirika ya umma kutoa Financial statements zao ni kupitia bungeni, sio lazima waweke kwenye mitandao kama zinavyofanya Private companies owned by May shareholdersSasa si unaona vile unajichanganya? Kama unajua kwamba hizo mashirika zinafaa kutoa statements zao Lila mwaka, why are you saying that ATCL is an exemption? That sio lazima itoe statements zake? Wewe unapenda tu ubishi za kijinga
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app




