Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nitarudia tena kwasababu wakenya uwezo wenu wa akili ni mdogo Sana. Lengo la Private companies kuweka hadharani balance sheet zao ni:
1) Ili watu wajue jinsi kampuni linavyopata faida waweze kuvutika kuwekeza Katina hilo kampuni
2) Shareholders waweze kufuatili na kujua mapato na matumizi

Kwa serikali ni tofauti, CAG ndiye mwenye kukusanya hizo taarifa na kuziwakilisha bungeni, wananchi wanapata taarifa kupitia bunge la taifa

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Air Tanzania COMPANY ltd. It's only in Tanzania where companies are not obligated to make public their statements.

Okay Mr. Excuses, the last time hizo taarifa ziliwakilishwa bungeni, Air Tanzania ilitengeneza faida ya shilingi ngapi?
 
Mwingine sasa anasema kuwa ATCL haikuanzishwa kwa ajili ya biashara na ndio maana hawatoi financial statements
😂 😂 😂 Woi! Washafika huko kwote 😂 😂
Hawa watu hunichekesha sana saa zingine. Eti lengo la ATCL sio Kutengeneza faida????? 😂 lengo kwani Ni kubebeba magunia za makaa ama??
 
Woi! Washafika huko kwote
Hawa watu hunichekesha sana saa zingine. Eti lengo la ATCL sio Kutengeneza faida????? lengo kwani Ni kubebeba magunia za makaa ama??
Hawa watu wanachekesha sana. Wanasema ndege zao sio za biashara and yet they are charging passengers for using the planes
 
Biashara ya kitajiri sn hyo,mshindo mmoja tu umenipa nyumba ya kisasa kabisa hata mzungu ambaye ndiye Mungu wenu anaishi humo
Tangu lini Hawking ishaikuwa biashara ya kitajiri? Unatembea kwa streets ukipigia watu kelele hili wanunue korosho za boss wako. By the way, how much commission do you usually get?
 
Sasa umeumia juu KNH wanatoa financial statements unlike your dead airline?
Na vile watu walinengua viuno hadi zikateguka 😂 😂. ATCL wanadhani hii biashara ni sawa na kuuza karanga za diamond. Unaona hata ile route ya SA walishindwa kurudi excuse ilikuwa eti kuna corona 😂 😂
 
Back
Top Bottom