Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CBD downtown nairobbery 😅😅

images - 2020-12-31T213957.966.jpeg
PIPELINE-NAIROBI.jpg
 
Hiyo flag ya DRC ni ya 2006, yaani we jamaa ni fala la mwisho
Nimeamua kuku - unblock. Tunaingia mwaka mpya. Mwaka mpya mwanzo mpya. Message zako sikuwa naweza kuzisoma. Lakini jamaa punguza matusi
 
Naona simu yako uliitengeneza ndio maana unashusha nondo non-stop.
Hapana hii ni nyingine, vitu vingi vipo mule ila nategemea kuitengeneza cz ni kioo tu ndo nilivunja kwa kukalia, ikipona ile nitahamisha vitu vyote humu ili twende sawa
 
Back
Top Bottom