Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni mara ngapi hapa mmetuambia kwamba sgr yenu inajengwa na pesa za serikali kwa asilimia mia moja na kwamba hakuna pesa Kutoka nje hata senti? Tuambiane tu ukweli jamani
Wivu wivu wivu, hii hapa ni phase1 fully funded by GoT, btw c ni ww uliyesema GoT ndiyo inafanya miradi yote pasipo kuachia private sector?
JamiiForums-1910739621.jpg
 
Wivu wivu wivu, hii hapa ni phase1 fully funded by GoT, btw c ni ww uliyesema GoT ndiyo inafanya miradi yote pasipo kuachia private sector?View attachment 1663412
Tukisema private sector tunamaanisha local private sector. Sio kampuni ya Uturuki. Halafu serikali yenu haina uwezo wa kujenga hio SGR. Hata serikali yetu haina huo uwezo. Ndio maana yetu tukampa Mchina nanyi mkampa Mturuki. Sasa Mchina sisi hatumhesabu kama private sector ya Kenya. La hasha, yeye anakuja na vifaa vyake anajenga na kuenda zake. Sawia na Mturuki ambaye anakuja na vifaa vyake anajenga na kuenda zake. Kwa hivyo Mturuki Yapi Merkezi sio private sector ya Tanzania. Huyo ni contractor tu aliyepewa kazi ajenge akishamaliza afunganye virago na kuenda zake. Private sector ya Tanzania ni makampuni ambayo yapo hapo long-term kama Azam na Mohamed industries. Hizi ni kampuni za private sector ya Tanzania. Kampuni za private sector ya Kenya ni pamoja na KCB bank, Equity bank na Safaricom. Lakini kampuni ya Uchina ya CRBC iliyotujengea SGR sio miongoni mwa kampuni za private sector ya Kenya.
 
😂😂😂😂😂😂🙂we ulisomea kwa dirisha the word urbanization is a noun on itself. What you were talking about was urban population growth . ... now google urban population growth meaning you will know the diffrence
Hahahaha kwa mujibu wa akili za Yosef Festo? 😂😂😂
 
Ni mara ngapi hapa mmetuambia kwamba sgr yenu inajengwa na pesa za serikali kwa asilimia mia moja na kwamba hakuna pesa Kutoka nje hata senti? Tuambiane tu ukweli jamani
usipende kupoteza mda na kutumia nguvu kubwa kwa kuforce mambo ambayo kila kitu kipo wazi

ushaambiwa zaidi ya mara mia ,ukweli ni kwamba phase 1 ya sgr 100% ni pesa ya government ila phase 2 ndiyo kuna kiasi cha pesa kutoka government vile vile kuna kiasi cha mkopo.....

usipende kupoteza mda wako for nothing mzee onyango
 
Back
Top Bottom