Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bondia wa tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
6309AF67-04A6-4EB1-A9B7-989FADF78315.jpeg
 
Yes they want to finish earlier simply because they want their money back and will last for 30 good years with flat rate of 600ksh per car🤣🤣🤣 mutakunya safari hiii
Ulisikia ni wapi watanzania watauliza wagaramikie? And by the way, leo hutaki kuonyeshwa billboard ya hii project? 😂 😂
 
Kwa hivyo kati ya $1.4b na $0.5b nani ametoa nyingi? Alafu kelele za pesa za ndani haziishi humu. Si wewe Ni juzi tu haha ulisema kwamba sgr yenu Ni pesa ya serikali 100%? Iweje leo standard chartered katoa $1.9b?

Secondly both phases are financed by different financial institutions, standard chartered being one of them. Other financers include the Turkish government. Pesa serikali yenu imetoa kwa hiyo project ni kama tone baharini


Si nilisema mm jamaa ni mgumu kuelewa kinoma noma
 
Kwa hivyo kati ya $1.4b na $0.5b nani ametoa nyingi? Alafu kelele za pesa za ndani haziishi humu. Si wewe Ni juzi tu haha ulisema kwamba sgr yenu Ni pesa ya serikali 100%? Iweje leo standard chartered katoa $1.9b?

Secondly both phases are financed by different financial institutions, standard chartered being one of them. Other financers include the Turkish government. Pesa serikali yenu imetoa kwa hiyo project ni kama tone baharini


Jibu post #244671 hapo juu, onyesha pesa iliyotoka Turkey Kama ulivyoweka ushahidi wa Standard Chartered

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo kati ya $1.4b na $0.5b nani ametoa nyingi? Alafu kelele za pesa za ndani haziishi humu. Si wewe Ni juzi tu haha ulisema kwamba sgr yenu Ni pesa ya serikali 100%? Iweje leo standard chartered katoa $1.9b?

Secondly both phases are financed by different financial institutions, standard chartered being one of them. Other financers include the Turkish government. Pesa serikali yenu imetoa kwa hiyo project ni kama tone baharini


Kukuelewesha kizuu kama wewe unae ishi kwenye denial kisa nchi yako ilishindwa kujenga hata km 1 ...ni ujinga kabisa baki hivyo ulivyo ....
 
The speed at which these people are working is amazing. I bet the project will be delivered before due date
Mchina anataka aanze kuwakamua kodi zenu mapema ndio maana anafanya fasta maana akichelewesha atakuwa anajichelewesha yeye mwenyewe kuwakamua ng'ombe za Kenya! Wewe endelea kushangilia tu 😁 😁 😁
 
Kwa hivyo kati ya $1.4b na $0.5b nani ametoa nyingi? Alafu kelele za pesa za ndani haziishi humu. Si wewe Ni juzi tu haha ulisema kwamba sgr yenu Ni pesa ya serikali 100%? Iweje leo standard chartered katoa $1.9b?

Secondly both phases are financed by different financial institutions, standard chartered being one of them. Other financers include the Turkish government. Pesa serikali yenu imetoa kwa hiyo project ni kama tone baharini


Pima kende zako alaf rudi🤣🤣🤣👇👇
FCF972CB-EFD0-43DD-8020-158A410B9E0F.jpeg
 
Mchina anataka aanze kuwakamua kodi zenu mapema ndio maana anafanya fasta maana akichelewesha atakuwa anajichelewesha yeye mwenyewe kuwakamua ng'ombe za Kenya! Wewe endelea kushangilia tu 😁 😁 😁
Unataka ng'ombe za Tanzania zichangie pia ama unaumwa na nini 😂 😂
 
Ulisikia ni wapi watanzania watauliza wagaramikie? And by the way, leo hutaki kuonyeshwa billboard ya hii project? 😂 😂
Kwa hii sawa 🤣🤣🤣👇👇 nitakubali yani mchina aweke pesa yake amiliki miak 30 huku akiwatoza ushuru hata ningekua mm ni mchina nigekubali🤣🤣👇👇👇👇 tukiwaambia kenya ni failed state muelewe tunamaanisha 😅😅😅😅😅 mtu anafunga safari kwenda paris kuomba mkopo wa kujenga km 5 za reli
9302BC37-2006-4132-A912-54DE67F6A202.jpeg
 
Back
Top Bottom