Fikeni hapa kwanza ndo uje tuendelee.Tuendelee au tusiendelee, hiyo inaitwa knock- out.![]()
Wanajifny vipofuhii kitu imetumwa humu masaa mawili yaliyopita ila haijajibiwa.. watu kutoka kunyaland tunaomba mtuletee data za 2020
View attachment 1663027




Hoja kwisha huyu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ukiona milio ujue mzigo uko ndani![]()
Hata Tanzania ni middle income piaKudadeki, cheza na middle income wewe.View attachment 1663035View attachment 1663036
We estates zenu mbona zimezungukwa na slums na tunakausha?
Haya basi middle class yenu inaishi wapi na shopping pia wanafanya wapi. Lete hoja.