The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Leo asubuhi asubuhi kinanuka humu so jiandaeniWewe hujielewi kabisa. I'll just leave you to be






Leo asubuhi asubuhi kinanuka humu so jiandaeniWewe hujielewi kabisa. I'll just leave you to be






Wengine wetu hatushindi humu usiku na mchanaLeo asubuhi asubuhi kinanuka humu so jiandaeni![]()
Nioneshe mahali Tz kuna mafukara km hawa ili niondoke jamii forumsHuoni aibu kwamba licha ya haya yote bado mnatajwa mionongoni mwa mataifa yenye watu wasikini zaidi duniani? Mnakwama wapi lakini?





Watu tunashinda humu na mambo yetu safi kabisa, ww watchman huwezi fanya hivyo na ukaishiWengine wetu hatushindi humu usiku na mchana






Kwani sasa hivi siishi? Uliambiwa nimekufa? 😂Watu tunashinda humu na mambo yetu safi kabisa, ww watchman huwezi fanya hivyo na ukaishi![]()
Hahaha shinda humu km sisi alafu uone kama utakuwepo dunianiKwani sasa hivi siishi? Uliambiwa nimekufa?![]()






Hii battle inakwenda kupoteza uhalisia kabisa, wakunya mlikuwa hamuijui vzr Tz but mumshukuru sn Melo





Mafukara wa kutupwa mnao wengi tena sana. 28 million is not a mean achievement 👏 👏Nioneshe mahali Tz kuna mafukara km hawa ili niondoke jamii forumsView attachment 1662014View attachment 1662015View attachment 1662016View attachment 1662017View attachment 1662018View attachment 1662019
Si wanasemaga hajui English 🤣🤣🤣
Hawa wakenya walitawaliwa hadi kwenye dna zao ndio maaana mpaka leo bado wanaabudu lugha ya mkoloni wao wakidhani kwamba hiyo lugha ndio kigezo cha maendeleo. Hata hapa tz miaka ya nyuma wazazi walikuwa wanadhani kwamba mtoto wao akijua kiingereza maisha yatakuwa mazuri au atakuwa na fursa nzuri ya kuajiriwa. Kama kiingereza kingekuwa ndio maendeleo ni nchi ngapi africa wanaongea kiingereza na bado ni maskini wa kutupwa? Kujua kusoma na kuongea tu kiingereza haiweza kukufanya uwe na maendeleo. Maendeleo yanaletwa na uzalishaji uliotukuka na uongozi bora. Kiingereza ni lugha tu ya mawasiliano kama zilivyolugha nyingine na mtu anaweza kujifunza muda wowote. MAENDELEO HAYANA LUGHA.Wanamu under estimate sana Meko. ..btw hana haja ya kujua sana kama Mkapa kikubwa kazi zake zinaonekana,Wakumbuke hata Malawi na Uganda wanaongea sana kinge lakini wako wap
Unachekesha kweli kweli ww, 2/3 of Kenyans are living in extreme poorMafukara wa kutupwa mnao wengi tena sana. 28 million is not a mean achievement![]()
View attachment 1662029






Usituelezee tunajua utapita uswazi mkubwa Sana ili ufike kwa hili jengo🤣🤣Wakunya hii kitu km 12 toka CBD
2/3 of Kenyans is roughly 33 million people. That's more than Tanzanian figures in that world bank report. Swali ni: how comes Kenya is missing in that list of five African countries with the highest concentration of extreme poverty?Unachekesha kweli kweli ww, 2/3 of Kenyans are living in extreme poor![]()
Wala usilie ni uzito wa akil ykoHii kelele yote and yet bado sijapata point hata moja!!




...fool