Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyati Cement Tanzania ya moto mno
nyati-truck-container.png
images - 2020-12-28T115713.510.jpeg
bags.png
 
Tanzania mna kipi cha kubaniwa, makampuni yenu dhaifu sana.
Bidhaa gani muhimu Kenya inauzia Tanzania?, sisi tunawauzia bidhaa muhimu sana, kama Transforma za umeme, chupa za kioo, na bidhaa zingine zitokanazo na kioo, karatasi, mbao, coal, ngozi, nyama, pamba, mafuta ya Alizeti, dawa za meno za White dent, Konyagi, bidhaa za Azam, na zingine nyingi, ninyi zaidi ya Benki zenu, Sigara na Big G, nini tena mnauzia Tanzania?, Maziwa?
 
Halafu nyinyi mumeanza kuprocess haya mambo juzi tu. In the 1980s and 1990s mlikuwa mnaimport hadi tooth paste na sabuni kutoka Kenya. Hamkuwa na industries za maana. Sasa hivi ndio mumeanza kumanufacture products halafu unaanza kuturingia ilhali Kenya imekuwa ikimanufacture hizi products kutoka zamani na kuwauzia nyie malazy.
Tulikua busy kukomboa nchi za Africa na kujenga umoja wa Taifa letu, kufuta ukabila, rushwa na Nepitism, sasa tumemaliza hayo yote sasa hivi tunajenga uchumi wetu na tumewafikia na tunawapita.

Ninyi vipi kuhusu kujenga umoja wa Taifa lenu na kufuta ukabila na rushwa, lini mtaanza hiyo kazi, au ndio basi tena imeshindikana?
 
Lakini mbona huyo mshamba Venus Star anaturingia processed products ilhali Kenya imekuwa ikiprocess products kutoka zamani? Huu ni ushamba wa aina gani? Si afadhali hata aende aringie Burundi, Somalia na South Sudan ambao hawana manufacturing industries. Sisi utaturingiaje bidhaa ambazo tumekuwa tukiprocess kutoka zamani na hata kuwauzia wakati hata hamkuwa na uwezo wa kuzimanufacture. Ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata.
inauma ila itabidi mzoee tuu
20201228_103914.jpg
 
Hii Kenya yetu ina vituko sana. Kuna ripoti kuwa msichana wa miaka 19 amewapiga na kuwajeruhi polisi wawili wa kiume huko Siaya. Hao polisi wamepelekwa hospitalini. Watanzania chungeni sana maana naona mumeanza kuja Kenya kutafuta wachumba. Hata wasanii wenu wanakuja huku sana kutafuta jiko. Mjifunze karate kwanza ndio mje huku


KDF tu wenyewe ni mdebwedo,sembuse hao polisi...
 
You can't touch our goods even verbally, you are afraid of Tanzania to the highest level currently
And you are right we can't touch because none exist in the Kenyan market you export nothing to other than maize and beans at least uganda tried with latto milk
 
Back
Top Bottom