joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kweli kabisa, alisema ana asili ya Kenya, na Kiptchoge alisema ana asili ya TanzaniaHuyu Diamond anaweza kuwa ni Mkenya.




Kweli kabisa, alisema ana asili ya Kenya, na Kiptchoge alisema ana asili ya TanzaniaHuyu Diamond anaweza kuwa ni Mkenya.




Nina dawa nzuri tu ninazotumia mzee baba tena nazikubali sanani dawa ya meno mkuu.
halafu kumbe huijui kabisa,mimi nikajua uliisha ijaribu ukaipuuza.
usijejaribu,utajidharau kwa kuchelewa kuijua.
Umesahau na Harmorapamchukueni na alikiba na nandy kabisa vp tukiwaongezea na hamonize?




Jaribu White dent siku moja, hizo zingine utazidharau sanaNina dawa nzuri tu ninazotumia mzee baba tena nazikubali sana
Nakumbuka kuna siku aliwatisha atahama nchi, mbona wameacha ku burn nyimbo zakeHuyu Diamond anaweza kuwa ni Mkenya.





Wakti alipiga mkwara ndugu yetu eti anafanya kazi kwa uhuruKenya tunaijua vizuri kuliko wewe wa Kibera, nenda Super Markets za hapo Nairobi kama hutokuta "White dent tooth paste", wewe nina uhakika hata uwezo wa kutumia tooth paste huna![]()







Pimbi ww ...ile takataka ulipost sijui ni uchaf gn...nayo ni nyumbaKudeki weka picha za pale unaishi, leo nakuchunisha mboga wewe.





funga bakul ww kilaza wa kufanya kazi kwa uhuru




EwaaaaKitu tayari kipo kwenye shelves. 500g ni cheaper kuliko Blue Band na aina zingine zenye ujazo Sawa .
View attachment 1661420
View attachment 1661421
View attachment 1661422
View attachment 1661423

bro kampuni ya colgate kumbuka sio ya mkenya,
ile ni univers comp bythe way huku tuna whitedent hatuna shida na kampun ya mmarekani

Akikisha hukitoi sababu ndio level yako ya akili pimbi ww
Sikumbuki mara ya mwisho ni lini nilitumia au kuona Colgate iliyotoka kenya ni liniNani anatumia Colgate Tanzania?,![]()



Tuliza mcoondu, twende ground kama uko vizuri.Pimbi ww ...ile takataka ulipost sijui ni uchaf gn...nayo ni nyumbafunga bakul ww kilaza wa kufanya kazi kwa uhuru
![]()
The first kick of a living Mlazy iko wapi?This is the last kick of a dying Nyang'au![]()
Hi kwa Mombasa port Ni mtoto😁Dar port👇👇
View attachment 1661456