Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si bora sisi tumechukua miaka 30 kuhamia makao makuu inamaanisha ahadi tunatimiza lkn nyinyi imewachukua takribani miaka 37 mpk leo bado mnatumia jengo la mkoloni km ikulu ya nchi alaf mnasema mnataka maendeleo, maendeleo gn wakati hao mnaotegemea wakupeni maendeleo wanajua siri zenu za ndani zote.
Point of correction miaka zaidi ya 57!
 
AAKIA na KIA r beating Mombasa airport by far on PAX! Mwanza airport is doing the same on PAX when compared to Kisumu airport! Sasa sijui unabisha nini! Wacha ufala asubuhi hii! Hapo Arusha na Dodoma airports hazijatajwa!
Wewe hata saa hii nikikuambia uchanganye pax za airport zenu zote bado hazitafikia pax ya JKIA.
 
Lilikuwa ni swali innocent tu. Sikuwa natania. Lakini naona mnapata hisia sana kwani hampendi kuzungumzia jambo hili? I wonder why?
Tatizo lako unapenda sana kuongelea vitu ambavyo havina maana.
You are talking about past ya nini kujichosha.
We are talking about present. Tukitaka kuongelea past mbona utakimbia humu.

Can we talk about now and future!?
 
Rice production in Tanzania.
Kenya vipi mnalima kweli!?
Rice-Harvest-14.jpg
download (1).jpeg
mpunga.jpg
images (85).jpeg
 
Vita ya Uganda did disruption but JPM is doing sth Kenya can never even dream about!
Tanzania na Nigeria zimehamisha capital city kutoka ufuoni mwa bahari hadi kati kati mwa nchi. Sisi hio tulishafanya zamani. Mabeberu walishahamisha capital city kutoka Mombasa hadi Nairobi hata kabla ya mwaka wa 1920. Nairobi iko katikati mwa Kenya kwa hivyo hakuna haja ya kuhama.
 
Nairobi iko kati kati mwa kenya kweli

Nairobi to Tanzania border ni less than 150km while Nairobi to turkana more than 500km.

Hamuoni Nairobi iko kwenye border ya Tanzania?


Tanzania na Nigeria zimehamisha capital city kutoka ufuoni mwa bahari hadi kati kati mwa nchi. Sisi hio tulishafanya zamani. Mabeberu walishahamisha capital city kutoka Mombasa hadi Nairobi hata kabla ya mwaka wa 1920. Nairobi iko katikati mwa Kenya kwa hivyo hakuna haja ya kuhama.
 
Back
Top Bottom