Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna kitu Magu anategesha...tena bonge la tego la kumnyakuwa mwana wa uganda kutoka Kwa utopolo Kenya..Hichi kipande cha Isaka - Mwanza ni tego la mzee JPM anampimia Uganda...na usishangae jiwe la msingi anamuita Mseven waweke wote...JPM uwa ana karata ya mbali ukitishia kujamba yeye anakunya kabxa..wakenya mlitaka kuua uchumi wa TZ..Ngariba haogopi Mkojo wacha tuwakekete bila Ganzi..Najua kwa mlivyo vilaza wa kiswahili hamtaelewa hii sms lakini dole limewaingia jiandaeni kulinusa...Merry C-max in advance
 
Mambo yanazidi Pamba Moto
msemajimkuuwaserikali_20201222_191827_1.jpg
msemajimkuuwaserikali_20201222_191827_0.jpg
msemajimkuuwaserikali_20201222_191827_3.jpg
 
We wa wapi?
Mbona unaongea vitu vipya?
Eti Kenya itupite comedy?
Kuna mkenya yupi anajua kuigiza comedy?
Accent yao tu wakiongea hata hamu ya kucheka inaisha
Oi kama hamuwafatili semeni tu hvyo lakini msibishane tu ... lakini wabongo yaishe bwana tuendele na mada za maana
 
hawa watawahi kumaliza kuliko hata waturuki wa sgr .. waturuki wanatuchelewesha

Barabara nadhani ndani ya wikii hii eneo la upande wa oysterbay linapoishia daraja kuelekea Coco Beach ,

kipande kati ya Daraja na Kenyatta inapokutana na Toure Tayari lami ishawekwa kama ifuatavyo.


IMG_3859.jpg

IMG_3860.jpg


IMG_3845.jpg



Kipande kuanzia Toure na Kenyatta mpka ubalozi wa Uturuki kinaisha Wiki Hii kama maana kipo stage ya mwisho kumwagwa Lami.


IMG_4119.jpg


Kitabaki kipande kuanzia Coco Plaza hadi Seacliff.
 

Attachments

  • IMG_3861.jpg
    IMG_3861.jpg
    103 KB · Views: 4
R
inspired wakati, quality ya barabara ya Kenya ni majanga!
Wacha kujisifu hamna kitu Mseveni anaweza kuwa inspired na Uhunye!
Ndo maana hata SGR na pipeline amewakimbia!





Read hill is one of the best roads in Kenya,that was just a small section na sa pako poa,about Thika road the maintenance is okey,those guys at first did a shody work but now their job is ok
 
Joti unamjua au unamsikia, nenda tube umcheki zen njoo tuongee.
Kujitoa ufahamu ndio commedy, acheni mchezo nyie bana...sio kila mtu anapenda hzo skit za kujitia utahira, mfano kw mtu km mm uongo..

Nisiende kw stand up commedy niangalie vi skit youtube
 
Back
Top Bottom