Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utaumia bure
Hakuna mtu atakae enda kisa ile mikebe yenu, lkn kenya kila kuchao vlogs za nganya youtube kibao..

Hzo zikija mnakodi mkafanyie show off
Apo kunya ujinga uko new generation sio hii 21c, embu niambie izo car umepost zinatofaut gani na hii manz yako hapo
JamiiForums2103133560.jpg
 
Katika sehemu nisiokubaliana na serikali kabisa ni hii

Hatupaswi kufanya hivi, ni vyema tukaacha nature takes its course, hizo proteins tunazo tafuta kwa nyama pori tunaweza zipata kwenye mifugo mingi ssna

Baada ya muda mfupi wanyama mbugani watapungua sana kutokana na kuharibu life chain yao.
Leseni sasa zinatolewa kwa watu binafsi kuanzisha mashamba ya kufuga wanyama pori kwa ajili ya kuuza na utalii. Serikali inatoa mitamba kwa wananchi wanaotaka kuanzisha mashamba ya wanyama pori. Pia unaweza kununua wanyama pori wakubwa, bei zipo wazi. Hio sio concept ngeni nchi nyingine zenye utaratibu huo ukienda dukani unakuta mpaka biltongs za wanyapori, the choice is yours.
 
Back
Top Bottom