Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Halafu ni jiji la Nairobi..tunaloambiwa ni metro..sijui..hamna majiHzi ndio vitu vya msingi
Mwengine anajifia barabara wakat jiji halina maji![]()
.
Halafu ni jiji la Nairobi..tunaloambiwa ni metro..sijui..hamna majiHzi ndio vitu vya msingi
Mwengine anajifia barabara wakat jiji halina maji![]()
Utaumia bureKwahiyo hizo ndio bora sasa?![]()




Apo kunya ujinga uko new generation sio hii 21c, embu niambie izo car umepost zinatofaut gani na hii manz yako hapoUtaumia bure
Hakuna mtu atakae enda kisa ile mikebe yenu, lkn kenya kila kuchao vlogs za nganya youtube kibao..
Hzo zikija mnakodi mkafanyie show off![]()




Toa uchafu apa.
Leseni sasa zinatolewa kwa watu binafsi kuanzisha mashamba ya kufuga wanyama pori kwa ajili ya kuuza na utalii. Serikali inatoa mitamba kwa wananchi wanaotaka kuanzisha mashamba ya wanyama pori. Pia unaweza kununua wanyama pori wakubwa, bei zipo wazi. Hio sio concept ngeni nchi nyingine zenye utaratibu huo ukienda dukani unakuta mpaka biltongs za wanyapori, the choice is yours.Katika sehemu nisiokubaliana na serikali kabisa ni hii
Hatupaswi kufanya hivi, ni vyema tukaacha nature takes its course, hizo proteins tunazo tafuta kwa nyama pori tunaweza zipata kwenye mifugo mingi ssna
Baada ya muda mfupi wanyama mbugani watapungua sana kutokana na kuharibu life chain yao.
Dar port ipo kwenye expansion ya zaidi ya berths mpya 7Na hapo hatujaanza kujenga hata cruise terminal ya maana..si watu watajinyonga
Sema Dar Port..inahitaji Super Container Terminals mpya hata berth 3 mpya za mita 350 kila moja
Footbridge at Thika🤣🤣
Safaricom ya mzungu hiyo 😅😅
Gharama ya nganya moja hapo mpka kila kitu ndani nje utachangishw hadi umee mvi kichwani kisa preshaToa uchafu apa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usi-niquote jomba km huna hoja