mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,516
ongeza na hii ya chang'ombe flyover.
yaani hawa viroboto wana safari ya miaka 2 tu kukiri kwa vinywa vyao hadharaniView attachment 1656031View attachment 1656032
ongeza na hii ya chang'ombe flyover.
Picha la Kushanta 😅😅😅Nashindwa hata niipe jina gani;
Picha la mwaka,
picha la kutisha,
.
.
.
Kama hii pia iko pale uhasibu, yn tunajenga mbili mbili mpk zote 11 ziishe fasta tuanzishe ligi ya modern flyovers, zingatia battle itahusu modern flyovers na co flyoversongeza na hii ya chang'ombe flyover.
yaani hawa viroboto wana safari ya miaka 2 tu kukiri kwa vinywa vyao hadharaniView attachment 1656031View attachment 1656032View attachment 1656033




Kama hii pia iko pale uhasibu, yn tunajenga mbili mbili mpk zote 11 ziishe fasta tuanzishe ligi ya modern flyovers, zingati battle itahusu modern flyovers na co flyovers![]()


hapo ndio utasikia excuse kibao.Wazungu wanawinda kwa idadi ndogo sana na kwa gharama kubwa mno na huwa ni kwa msimu tu, sa fikiria bucha karibu 40 nchi nzima zinatakiwa kufunguliwa daily, Sidhani kama tuna wanyama wengi kiasi hicho na sioni mantiki ya uchu wa kula nyama pori hivyo.Shida ni kwamba wazungu nao wanavibali vya kuwinda wanyama pori na wanachukua na nyama pia, so na sisi inatakiwa tule sio kuwaachia wao tu wale, au km vp tuwakataze wao wasile ili tule sisi mkuu.
Naisaka ikiwa raw bila hiyo description attachment, ni bonge 1 la view ambayo haijatokezea awalialiyepiga hii picha ana roho mbaya sana.
hafai kualikwa popote ni muuaji.





Acha mchezo wewe burna boy ni msanii mkubwa sana afrika, burna single zake zimetikisa sana wala hategemei remix za watu wala ma collabo ndio zimbebe.nani ana views wengi zaidi youtube? kuna msanii kafika 1 bln views? diamond anamiliki radio station, Burnaboy anamiliki nini? Diamond anajenga tower yake pia!
mkuu japo mimi pia sikubali,ila nina imani hawawezi wakayaendesha kama mabucha ya ng'ombe za kawaida.Wazungu wanawinda kwa idadi ndogo sana na kwa gharama kubwa mno na huwa ni kwa msimu tu, sa fikiria bucha karibu 40 nchi nzima zinatakiwa kufunguliwa daily, Sidhani kama tuna wanyama wengi kiasi hicho na sioni mantiki ya uchu wa kula nyama pori hivyo.
ngoja watu wanogewe wawe wanaenda kuwinda wenyewe! Hapa JPM anachemka!Wazungu wanawinda kwa idadi ndogo sana na kwa gharama kubwa mno na huwa ni kwa msimu tu, sa fikiria bucha karibu 40 nchi nzima zinatakiwa kufunguliwa daily, Sidhani kama tuna wanyama wengi kiasi hicho na sioni mantiki ya uchu wa kula nyama pori hivyo.
Tuonyeshe na kabisaZipo njema sana tu
Acha hzo, wanyama hatuwezi wamaliza km kutakuwepo na mikakati kabambe na km itakua wamewaacha rai kujiwindia kihole basi hapo ndio itakua wamechemka..Wazungu wanawinda kwa idadi ndogo sana na kwa gharama kubwa mno na huwa ni kwa msimu tu, sa fikiria bucha karibu 40 nchi nzima zinatakiwa kufunguliwa daily, Sidhani kama tuna wanyama wengi kiasi hicho na sioni mantiki ya uchu wa kula nyama pori hivyo.
Sio kila kitu kikifanyika basi ni rais, kuna sifa zingine na mabaya hayaendi kw rais tu..ngoja watu wanogewe wawe wanaenda kuwinda wenyewe! Hapa JPM anachemka!
Nini kazi ya BRT😅😅😅😅Mbna unaleta mada tofauti, we si ndio umesema hayo mabasi hayafai..
Tuonyeshe wewe mabasi ya commuter rail ya dar yanayofaa
Source hii uneitoa wapi au umeshiba githeri 🤣🤣🤣Majumba yenu ya ghorofa nyingi yamejengwa na serikali kwa sababu malazy wenyewe hawawezi kuafford kujenga majumba ya ghorofa
Uoneshwe ww nani??? Google hunaTuonyeshe na kabisa