Hapa akili iliyotumika ni kwamba wanauza nyama pori ili kupunguza ujangili, mana hata tusiponununua buchani majangili yatauza kisirisiri, ila nadhani kutakuwa na utaratibu fulani kwmb kila miezi fulani tunanunua nyama pori buchani, na iwe nyama za wanyama ambao ni wengi mfano swala, nyumbu n.k.ngoja watu wanogewe wawe wanaenda kuwinda wenyewe! Hapa JPM anachemka!
Acha hzo, wanyama hatuwezi wamaliza km kutakuwepo na mikakati kabambe na km itakua wamewaacha rai kujiwindia kihole basi hapo ndio itakua wamechemka..
Ila widhani km watazembea kiasi hicho wanyama pori wauliwe kiholela
daladala za kenya
View attachment 1656083View attachment 1656084
daladala za Tanzania
View attachment 1656085View attachment 1656086




Kenya's matatu na chatu
Umeshinda!!Nini kazi ya BRT![]()
Usi-niquote jomba km huna hojaUoneshwe ww nani??? Google huna
We kicha wa ikulu hapo ndio umepost nini hasa cha kupiga tarumbeta





Hapo vipidaladala za kenya
View attachment 1656083View attachment 1656084
daladala za Tanzania
View attachment 1656085View attachment 1656086


Na hapo hatujaanza kujenga hata cruise terminal ya maana..si watu watajinyonga