Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuna import from mexico na tunawalipa Mara dat dat...Tanzania hakuna kitu mnatusaidia
nyie wakenya pamoja na uongozi wenu ni matahila mna roho mbaya yaani mnajifanya kuagiza msosi nnje wakati jirani zenu wanavyo kwanini msinunue kwa jirani zenu...? hiyo ni roho chafu


na kingine punguza uongo chakula mnanunua TZ kwa hili usibishe
 
Lol Tanzania itself was facing food shortage na wanajifanya tu hapa vile wamezoea kuficha ufukara wao unaoonekana wazi sana..............
 
Huku tz mkoa mmoja unazalisha Chakula cha kulisha mikoa mingne Minne hadi mitano ka mlikua hamjui ndio mjue sasa
 
Back
Top Bottom