Mr bongo
JF-Expert Member
- Mar 18, 2019
- 462
- 1,015
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 floating bridge in kenya standardLikoni floating bridge is the only floating bridge in East and Central Africa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 floating bridge in kenya standardLikoni floating bridge is the only floating bridge in East and Central Africa.
shukran kwa bonge la TBT
kudadeki cheki uchafu huo
Hapa ni Nairobi au??![]()
Pole sana... Now this was me a while ago... Hio train ya Mutindwa..alight hapo Kaloleni...sorry.(jump from the train)because you haven't paid..🤫🤭 But God... | By Daniel "Churchill" Ndambuki aka Mwalimu King'ang'i | Facebook
Pole sana... Now this was me a while ago... Hio train ya Mutindwa..alight hapo Kaloleni...sorry.(jump from the train)because you haven't paid..🤫🤭 But God...fb.watch
nairobi nyenyee![]()
ukweli mtupu,kenya jua kalibabuyenu yupo uku anakula bata ila nyie wakunya wa jf mtaishia korogocho adi mtiiView attachment 1653308
af uyu jamaa katakata tofauti na alivokuja ee



Kw akili zako ipi floating bridge, nimeileta kusudi mkaparamia
sijui kama wataendelea kuitisha aerial tena


.Bwahaha!!umeingia cha kike, km hapo huoni tofauti nenda kamuone daktari
Kibongo bongo hzo ni nguzo
DMUs ni kwasababu mpya so wakenya wanatoa ushamba kwnz zen watarudi kwenye ma3Which majority are you talking about? Why are DMU's always full in every trip?Nilikuambia Kenya is not for the poor especially Nairobi. If you want cheap things go to Uganda or Burundi
![]()






Hehehehee onesha yako tuone, yn kila kona urembo wa gharama alafu nyani iendelee na dharau za kuita watu watoto wkt kuna mda tunafanya enjoyment pale tunapopata muda, na co uone mtu anacheza game ukadhani ni size yakoYani dream yako ni gypsum jamani
Mbna kitu cha kawaida hicho






Hebu tufananishe na hiiYeah, that's what's being done everywhere around the world. This is Singapore and Johannesburg.View attachment 1653231View attachment 1653232






Wakenya huwa wanachokoza ugomvi ukiwaonesha wanakimbilia kusema tunajioneshaHongera sana mkuu...Nilicho conclude huu uzi una watu wakubwa sana tena wenye maisha mazuri.






Hii Likoni Mombasa ..Hii ..
Hawapendi kusikia habari hiisema nn.. kile wanachoita ‘BRT’ huko kwao kenya ikikamilika.. then BRT yetu ikawa inaendelea kushinda awards ndo wataelewa hatupo level nao sawa.. SA & Nigeria wana BRT lkn BRT yetu ndo inashinda awards
narudia
SA & Nigeria wana BRT lkn BRT yetu bado ndo inashinda awards!!!




Hawa watu wana safari ndefu mpka nimewaonea huruma kelele zote zile kumbe mambo ndo hayo??jiji la kibiashara EA.
yaani balaa kubwa.
Kwasababu wanakatwa kodi mara tatu tatuKwanini Kenya vinywaji ghali sana



