Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wewe huoni ni ya Zamani?[emoji23][emoji23][emoji23] The New Nairobi Commuter Railway System imeanza kazi lini?[emoji23][emoji23]
matajiri wa kunya [emoji15][emoji15][emoji23][emoji23]
20201218_142618.jpg

namuona baba kayaii apo anapepea like nobody's business
 
Unajua Kenya pale mahali wanafail.. ni kuwekeza kwenye kuwa bora kuliko sisi... Halafu wanakuta sisi tunakazana kutatua Shida zetu... Hata hatuwawazi 🙂 😀

Tanzania is actually setting the bar.. Wengine wao hufollow tu 😀
 
babuyenu yupo uku anakula bata ila nyie wakunya wa jf mtaishia korogocho adi mtii [emoji23][emoji23][emoji847]
20201218_151744.jpg

af uyu jamaa katakata tofauti na alivokuja ee
 
Back
Top Bottom