Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mpumbavu! Kwani watu wanaishi ndani ya station? Station ni sehemu ya kupita na ukubwa wake uko determined by the frequency of use! Station za Dar na Morogoro Ndio kubwa zaidi kwasababu ni miji yenye Idadi kubwa ya watu hivyo usafiri katika miji hii ni very frequent. Sasa wewe kichwa boga unataka kuniambia mji kama Ngerengere unatakiwa uwe na station kubwa kama ya Morogoro? Hivi una akili kichwani?
Endelea kuandika upupu tu, km nyinyi mumeamua kujenga mabanda ili kubana matumizi kwn ni mbaya na wakati tatari rais wenu keshaamua
 
Huyo ni mkenya namba mbili kwa upumbavu humu.

1. Teargass

2. Komora

3. Nicxie

4. Magix Enga a.k.a janerose

5. Yosef festo

6. Zig lizla

Majinga sn
Naona leo nimekupa za uso nyingi sana mpka ukaamua kuingia gizani..
Haya vioi sasa kuhusu lile zizi la morogoro walionaje!!lipo sexy
 
Lake Basin Shopping Mall in Kisumu. There's no mall in Tanzania that can come close to this.
3J7A7655-1920x1280.jpeg
 
Kwhyo mnawazidi wasauzi au wale waarab kule north
Unaona sasa ulivyo uninformed ivi unajua nyimbo za warabu ndio zina views nyingi Afrika? Pia ma celeb wao wako na followers wengi Afrika? Ukij SA nenda kangalie ile nyimbo ya yelusalem kisha uje uongee tena
 
Back
Top Bottom