Hahaha, kwa miaka mitatu sasa, jeshi la Mozambique halijawahi kuwaua terrorists hata kumi, baada ya JWTZ kuanza madhambulizi ndio Jeshi la Msumbiji linaanza kupata ushindi na kukomboa maeneo yote yaliyokua chini ya magaidi.
Kabla ya JWTZ kuingia Msumbiji, magaidi walikua kila siku wanateka miji na visiwa huko Msumbiji kwa zaidi ya miaka mitatu sasa, lakini baada ya magaidi kuishambulia Tanzania, ghafla magaidi wameanza kushindwa na kupoteza maeneo yote walitoyateka kwa miaka mitatu sasa, bado unadhani ni jeshi la Msumbiji?

