Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Morogoro inakuja 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

EosUu6BW4AABuQN.jpg
EosUv0IWMAI3E55.jpg
EgxI2z7WoAQVNd_.jpg
EnLvHbkXUAEwquU.jpg
 
Don't you have Tanzanians who can design your buildings. Are you also aware that Rock City Mall was also designed by Kenyan?. Anyway, enjoy Kenyan new Parliament buildingView attachment 1644344
Without Tanzania markets, Kenyan companies shall collapse, they are here looking for big money, the same way people around the world go to USA, China and Europe
 
Kwaiyo hiyo pisi kali sio wewe ? Toto la Mombasa?
We avatar yangu inakuhusia nn jamani, mbna hamjui ku mind vitu vyenu..we fuata kilichokuleta hapa..
Wala hutonikuta mimi nahangaika na avatar za wengine
 
Nimekuabia weka link tuone, Mwea inazalisha 80% ya mchele unaozalishwa Kenya sio unaotumika Kenya. Kenya huzalisha 150,000 MT za mchele kwa mwaka, mahitaji ya Kenya ni 600,000MT kwa mwaka.

Tanzania tunazalisha 4.6milioni MT, na mahitaji yetu ni 2.2milion MT. Yaani tunazalisha mara mbili ys mahitaji yetu, ule wa ziada ndio tunawauzia Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya, Uganda, Burundi na nchi za mbali.

Who feeds you, controls you
Bwahahahaa
Mchele wetu wa ziada tunanua thailand, pakistan, india wala hapo hakuna tanzania sahau kabisa kuhusu hilo..
Na majority ni parkistan
20201208_000002.jpg
 
LOL unajua Tanzania Ina zaidi ya millions of irrigation acres of land na Tanzania ndio inalisha 75% ya mchele wa Kenya, 70% Uganda, 80% Rwanda, 70% Burundi, 40% DRC, 65% Zambia, 40% Mozambique, 89% Comoros, 35% Malawi, tunapeleka mchele mpaka Zimbabwe, Namibia

Hyo kasumba ndio tumeshaiweka shimoni, tafuta tanzania hapo ukiiukuta natoka jf..
20201208_000002.jpg
 
As others are celebrating a 9km kibaka road of 6 lanes, Mombasa is just Smiling about this 42km road with 8 lanes, a three level interchange and the second underpass in East and Central Africa.


Your arguement sound pathetic, what a waste, big head with no brain
 
We huoni hapo singida ni padogi alafu panatumika km eneo la kumeesha miti
Ile picha ya wale "wakenya" wakitembea katikati mwa barabara na nyinyi mkidhani wapo kwenye "middlewalk" inaonekana kabisa wale jamaa ni wageni. Kisheria (US) hairuhusiwi pedestrians kutembea/kuvuka katikati ya barabara, hilo ni kosa la Jay walking, polisi akikukamata anaweza kukupa ticket (fine).
 
Ile picha ya wale "wakenya" wakitembea katikati mwa barabara na nyinyi mkidhani wapo kwenye "middlewalk" inaonekana kabisa wale jamaa ni wageni. Kisheria (US) hairuhusiwi pedestrians kutembea/kuvuka katikati ya barabara, hilo ni kosa la Jay walking, polisi akikukamata anaweza kukupa ticket (fine).
Hahahah!!unafikiria USA ni nchi ya kitopolo, kule ma snitch kibao hapo km ingelikua hairuhusiwi hakungelikosekana mzungu kuvuta waya juu kw 911 ungeliona vile hao jamaa wangekisimamishwa na kupewa tiketi zao kwanza vile ni blacks..

Achana na wazungu kw usnitch wewe, hata akikuona ume tress pass sehemu ambayo haimuhusu haswa bado atakupeana sana sana wanawake wao
 
Hahahah!!unafikiria USA ni nchi ya kitopolo, kule ma snitch kibao hapo km ingelikua hairuhusiwi hakungelikosekana mzungu kuvuta waya juu kw 911 ungeliona vile hao jamaa wangekisimamishwa na kupewa tiketi zao kwanza vile ni blacks..

Achana na wazungu kw usnitch wewe, hata akikuona ume tress pass sehemu ambayo haimuhusu haswa bado atakupeana sana sana wanawake wao
Hayo mambo ya kina "Karen" ku snitch huwa yapo kwenye suburbs, mjini kila mtu anapambana na hali yake.
 
Back
Top Bottom