Sasa mbona hata mashule ya ngeli wana British english naKujua ngeli lazima uwe na ability yakuongea kingereza with the correct pronounciation..
We km hujui ku pronounce ya lugha husika vizuri basi we unahesabika huijui hyo lugha kw ufasaha wala hakuna kitu km different pronouncitaion
Narudia tena, ukiona mtu ana pronounce neno vibaya basi ujue hyo lugha hana ufasaha nayo..Sasa mbona hata mashule ya ngeli wana British english na
American english
Unafikiri maneno yanatofauti pale kinachotofautisha ni pronunciation kwasababu hata ujifunze vipi huwzi kuwa na American English Accent lakini unaweza kupata pronounciation ukitaka kuwa ana accent inabidi uishi nao. Na ww pia unaweza kuwa na nigerian pronounciation hata ukiwa kenya lakini accent yao lazima ukae nao ili uizoee..
Swali dogo tu!! Ivi pronounciation ya Kenya na Nigeria nisaw???
Hzo shule ndio zinatufanya tuwaeke sawa katika mambo yetu hapa jf...usijali ukitaka kufunzwa we sems tuNyie shule zenu sijui mnaendaga kufanya nini au ndo kujifunza huu ujinga... ivi unajua maana ya pronounciation??
Ivi ishaanza kazi?Not only the best in East and central Africa, this is the best in AfricaView attachment 1644766
Ndo mana walimu wa kenya sikuizi wamekosa sana soko bongo zamani walikua wanatudanganya sana sasa mwalimu aje anambie pronounciation ni moja dunia nzima si ntamuona chizi??Hzo shule ndio zinatufanya tuwaeke sawa katika mambo yetu hapa jf...usijali ukitaka kufunzwa we sems tu


Hzo gari zinatumika ushago sio zanzibar town unajitia uchizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe Zanzibar ni ushago? Halafu munasema muko na cities. 😂 😂 😂
Not only the best in East and central Africa, this is the best in AfricaView attachment 1644766
Ndio unajidanganya hvo 🤣🤣🤣🤣Hayo magari yapo stone acha ujinga wako hapa
wewe ni kajinga sana.Narudia tena, ukiona mtu ana pronounce neno vibaya basi ujue hyo lugha hana ufasaha nayo..
Tofauti ya American na British english wala sio pronounciation, sometime kaa ukiuliza ujuzwe mambo kadha wa kadha..
Their differences ni kwamba americans na british huaga kuna maneno wanayoyatumia wakimaanisha vitu tofauti na british au hta pia kutumia maneno tofauti kw kitu kimoja..
Kw mfano:Trunk/Boot
Umepanic tayar 🤣🤣🤣🤣🤣Do you understand the meaning of "no particular order" ?![]()
Wamepekwa siku 14 iwe ishaanza kaziIvi ishaanza kazi?
Sizani, nahisi pale kuna elevator tuI like kama Mtanzania mzalendo. Hivi kutakua na escalators, lifts kwenye hii mkitu?? manna vyoo vya dodoma zikuvipenda, old model.
Wao labda wametengeneza hzWalisema hizi basi walitungenezea wao...




