ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Teach us then 🤣🤣🤣 hasira zote kisa hamuna three levelIs floor and level the same thing?![]()
Teach us then 🤣🤣🤣 hasira zote kisa hamuna three levelIs floor and level the same thing?![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 so now nairobi city vs zanzibar ushagoIt doesn't matter, it's still an outdated mode.
According to Kunyans, knowing English is an indicator of being educated person which is very pathetic thought.Is like ushajua penye ulikosea. I would advise you to try and learn about these terms so that next time you don't embarrass yourself
Pronunciation
Accent
Synonyms
Antonyms
Hebu hesabu floor za hivyo vighorofa vya Mombasa then compare na floors za buildings za Kariakoo. Jibu mpe Komora!Hapa hakuna tofauti na hii small part of Mombasa,hakuna cha ajabu
View attachment 1644484
Kumbe Zanzibar ni ushago? Halafu munasema muko na cities. 😂 😂 😂🤣🤣🤣🤣🤣 so now nairobi city vs zanzibar ushago
Nyie wakunya hamjawahi kuwa perfect kwa kitu hata kimoja hata English mnayojidai pia kumbe hamjui. Kama ilivyo Accent pronunction haijawahi kuwa sawa pia.You are still showing us your foolishness. Pronunciation is always the same anywhere in this world, what you are talking about is accent
. I'm sure you didn't even know the difference between the two
![]()
Ndo maana waganga wa Tanzania kule Kenya wana-market sana, kuna biashara kubwa sana ya hawa jamaa wapemda ulozi!Imejipost 🤣🤣🤣🤣👇
View attachment 1644610
Iyo ndo tofauti ya pronunciation na wote wako sahihiYah pronunciation ni moja dunia nzima ila the way mataifa yana pronounce ni different.
Ukisoma dictionary huwa wanakupa maana ya neno afu chini wanakupa pronunciation.Hakuna aliyebisha mamaa.
Aaaah watakuwa wamekosea kuwaeka wa kunya apo..










...Hayo magari yapo stone acha ujinga wako hapaso now nairobi city vs zanzibar ushago
Acha ushamba wewe, unapo pronounce nemo vibaya hyo inakua tayari hujui lolote kuhusu matumizi ya hyo lugha..Nyie wakunya hamjawahi kuwa perfect kwa kitu hata kimoja hata English mnayojidai pia kumbe hamjui. Kama ilivyo Accent pronunction haijawahi kuwa sawa pia.
Inatofautiana kutoka sehemu na sehemu. America, British, Africa,Asia English speakers they differ in some word pronunciation.
Mf. The word schedule lina pronunciation tatu tofauti kutoka
america british na asia but still same meaning. Acheni kutulangua kwamba pronunction ni moja dunia nzima..
Kiswahili chenyewe kina pronunciation tofauti baadhi ya maneno ukiwa zanzibar ni tofati na bara pamoja na kenya..
Kujua ngeli lazima uwe na ability yakuongea kingereza with the correct pronounciation..Ukisoma dictionary huwa wanakupa maana ya neno afu chini wanakupa pronunciation.
Na always wanakwambia hii ni british pronunciation au ni usa pronunciation au wanakupa zote so usimsikilize huyu mkunya hajui kitu.
Nyie shule zenu sijui mnaendaga kufanya nini au ndo kujifunza huu ujinga... ivi unajua maana ya pronounciation??Acha ushamba wewe, unapo pronounce nemo vibaya hyo inakua tayari hujui lolote kuhusu matumizi ya hyo lugha..
Accent ndio hu differ na sehemu tofauti tofauti kutokana na matabaka mbali mbali