Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tabora 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Nakuru kisumu combined as well again 😂😂😂😂

images (1).jpeg
images.jpg
images (46).jpeg
 
Umesahau shisha na kuchora tattoos kwenye ngozi nyeusi

Halafu katika mademu kumi Nairobi, 8 ni malele, huu ni utafiti nilioufanya mimi na huu utafiti ni ukweli mtupu.
Kweli kabisa Kaka! asilimia kubwa ya madem wa Kenya wanapenda kujiuza kwenye webcam na mitandao sijui umenielewa? Aaafu wadogo Sana ukienda mitaa ya rongai, ngong,zimerman,fedha, pipeline na mitaa kibao tabia zao zinafanana, tattoo,shisha,bangi ndo habari ya mujini aafu vinapenda kuongea kingereza Sana zikishapanda🙄🙄
 
Hanang 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

is well planned than Mombasa 😅😅😅

images (13).jpeg
 
Kweli kabisa Kaka! asilimia kubwa ya madem wa Kenya wanapenda kujiuza kwenye webcam na mitandao sijui umenielewa? Aaafu wadogo Sana ukienda mitaa ya rongai, ngong,zimerman,fedha, pipeline na mitaa kibao tabia zao zinafanana, tattoo,shisha,bangi ndo habari ya mujini aafu vinapenda kuongea kingereza Sana zikishapanda
Ataongea vyote kwa mkenya mwenzake ila punde tu akikutana na mbongo analainika
 
Singida 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

One of least developed of Tanzania

maxresdefault (8).jpg
images - 2020-12-07T110307.333.jpeg
2e93a306-8813-410e-817f-cc51122b3786.jpg
Dr8wtzuW4AAzfYM.jpg
maxresdefault (7).jpg
188599880.jpg
maxresdefault (6).jpg
 
Kenya kukuwa juu yenu inawauma kweli! Mmekosa jibu nikutapatapa humu tu., let entertainment continue, povu ruksa😂😂😂😂
LOL jana tumepanga tulete unpopular towns za Tanzania na Kenya, kwa mbwembwe ukakubali the deal, vipi mbona umekimbia tena? 😅😅😅

Mziki wa Tanzania hauuwezi bro, Tanzania ipo developed kila kona ya nchi ndio maana Africa ni Tanzania inaongoza kwa inclusive economy and urbanization

Tofauti na Kenya ambapo ukiondoa lower Kenya huko kwengine hata serikali haiexist 😂😂😂
 
Hizo ni picha za juu, ingia mtaani sasa, Vumbi tupu na majengo ya tangia kipindi cha ukoloni.
Hahahaha kwa hiyo saivi hamtaki tena aerials? Sababu mlisema Tanzania ni slums ndio maana hatuwezi kuweka aerials 😅😅😅
 
nmefatilia too much hii battle. wakenya wanadharau, wanaishi kwa nadharia tuu alafu wanaabudu sana watu weupe sjui kwanini. ukienda sasaiv kipindi cha covid-19 usipovaa barakoa nairobi unakamatwa mtu aje abishe kama sio ulimbukeni ni nini
Jamaa wanavaa barakoa sababu ya polisi,kitu kilinishangaza Sana yaani wakenya ukisalamia mpaka mtu akuangalie usoni ndo aitikie salaam yaani kiukwel dharau na kibri.🙄
 
Back
Top Bottom