Kweli kabisa Kaka! asilimia kubwa ya madem wa Kenya wanapenda kujiuza kwenye webcam na mitandao sijui umenielewa? Aaafu wadogo Sana ukienda mitaa ya rongai, ngong,zimerman,fedha, pipeline na mitaa kibao tabia zao zinafanana, tattoo,shisha,bangi ndo habari ya mujini aafu vinapenda kuongea kingereza Sana zikishapanda🙄🙄Umesahau shisha na kuchora tattoos kwenye ngozi nyeusi
Halafu katika mademu kumi Nairobi, 8 ni malele, huu ni utafiti nilioufanya mimi na huu utafiti ni ukweli mtupu.
Kwamba Kiswahili kilikua kinaitwa "Kingozi",
Kuna mkenya mmoja toka Mombasa alikua anahojiwa katika TV, alisema asili ya "Mziki wa Bongo flava" ni Mombasa![]()





huyo naye kibokoAtaongea vyote kwa mkenya mwenzake ila punde tu akikutana na mbongo analainikaKweli kabisa Kaka! asilimia kubwa ya madem wa Kenya wanapenda kujiuza kwenye webcam na mitandao sijui umenielewa? Aaafu wadogo Sana ukienda mitaa ya rongai, ngong,zimerman,fedha, pipeline na mitaa kibao tabia zao zinafanana, tattoo,shisha,bangi ndo habari ya mujini aafu vinapenda kuongea kingereza Sana zikishapanda![]()



Huyu anayelazimisha kwa muitaliano pia ni prank?Someone doing a prankI remember this., , Tz hakunaga pranks kwa streets? Bado ndio mna amka.,nyie washamba wa EAC na SADC kweli
![]()
LOL jana tumepanga tulete unpopular towns za Tanzania na Kenya, kwa mbwembwe ukakubali the deal, vipi mbona umekimbia tena? 😅😅😅Kenya kukuwa juu yenu inawauma kweli! Mmekosa jibu nikutapatapa humu tu., let entertainment continue, povu ruksa😂😂😂😂
Kila kitu kimeanzia Kenya, hawa jamaa wana matatizo ya akili, sio burehuyo naye kiboko



Hahahaha kwa hiyo saivi hamtaki tena aerials? Sababu mlisema Tanzania ni slums ndio maana hatuwezi kuweka aerials 😅😅😅Hizo ni picha za juu, ingia mtaani sasa, Vumbi tupu na majengo ya tangia kipindi cha ukoloni.
Jamaa wanavaa barakoa sababu ya polisi,kitu kilinishangaza Sana yaani wakenya ukisalamia mpaka mtu akuangalie usoni ndo aitikie salaam yaani kiukwel dharau na kibri.🙄nmefatilia too much hii battle. wakenya wanadharau, wanaishi kwa nadharia tuu alafu wanaabudu sana watu weupe sjui kwanini. ukienda sasaiv kipindi cha covid-19 usipovaa barakoa nairobi unakamatwa mtu aje abishe kama sio ulimbukeni ni nini
Is this a town or a National Park?Shinyanga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nakuru kisumu combined and still cannot match 😅😅😅
View attachment 1643762View attachment 1643763View attachment 1643765View attachment 1643767
Ona jinsi wanavyojipendekeza na kujitongozesha, sura mbaya
Wenzio wanatafuta mume ww unasema prqnk huoni kasema no jokes. Msaidieni mwenzenu maana hqli ngumu.Someone doing a prank😂😂😂 I remember this., , Tz hakunaga pranks kwa streets? Bado ndio mna amka.,nyie washamba wa EAC na SADC kweli😂😂😂
Anajikosha tu, ila hata wakenya wenyewe wanachukizwa sana na tabia hizi za dada zao kujirahisisha sanaWenzio wanatafuta mume ww unasema prqnk huoni kasema no jokes. Msaidieni mwenzenu maana hqli ngumu.



hiyo inaitwa Nissan pro 24 new model made by wanjiku company










