Ona jinsi wanavyojipendekeza na kujitongozesha, sura mbaya
Someone doing a prank😂😂😂 I remember this., , Tz hakunaga pranks kwa streets? Bado ndio mna amka.,nyie washamba wa EAC na SADC kweli😂😂😂
2020 kila mti minyani ya Tz inajaribu ku kwea unateleza., mnatapatapa tu bado., mna pata taabu sana!😂😂😂Mpanda 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
This can beat Kisumu hands down as well 👐😅🙌😅
View attachment 1643751View attachment 1643752View attachment 1643753
Hoja zimekulemea kazi kashfa, Tanzania sio level yenu, hilo tu 😅😅👌🇹🇿🇹🇿2020 kila mti minyani ya Tz inajaribu ku kwea unateleza., mnatapatapa tu bado., mna pata taabu sana!😂😂😂
Ndio maana wapo kwenye list ya majiji ya hatari zaidi kuishi Africa kama sio dunianiNlikuwa cjaona, oyaa wakuu oneni boko hili, yn serikali inawawekea mtego raia wanase wafe, oneni sidewalk hiiView attachment 1643546



Prank my foot, ulipanga nae kuprank? 🤣🤣🤣Someone doing a prank😂😂😂 I remember this., , Tz hakunaga pranks kwa streets? Bado ndio mna amka.,nyie washamba wa EAC na SADC kweli😂😂😂
Shida, maisha magumu, unemployment rate is the highest in the continent, sura zenyewe mbaya nani ataoa mkenya zaidi ya kuwazalisha na kuwakimbia?Someone doing a prankI remember this., , Tz hakunaga pranks kwa streets? Bado ndio mna amka.,nyie washamba wa EAC na SADC kweli
![]()
Ukweli huwa uchungu, inauma lakini itabidi umevumilia tu na usonge mbele kaka, no hard feelings, zoea tu😂😂As ussual excuses,suck it....you cant use Tanzanian as your shield to your cowardness
Umesahau shisha na kuchora tattoos kwenye ngozi nyeusiAafu brother mbona madem wao wanapenda ganja na pombe Sana? Kuna sehemu moja inaitwa umoja 2 maduka ya liquor mengi kama wakala wa crdb![]()



Songea
Quite unpopular but can beat popular Kenyan top towns
View attachment 1643755View attachment 1643756View attachment 1643758
Hahahaha hata uje kama mjerumani, haitaokoa Kenya yako bro 😂😂😂😂As a Tanzanian lazima nikubali kuwa Wenzetu Kenya kimiundo mbinu mmetupita mbali sana.
Kenya can't produce its own food to feed its people, as result youUnaona ulivyo na akili ndogo? Thank u for the clip, umejipiga risasi kwa mguu tena! Did u listen to what Unye was saying ama u are reading your thoughts into his speech?, uko ovyo kimawazo kaka! Hapa kamwana amesema tumeshindwa? Amesema tuna import, hatuwezi kujilisha kutokana na mazao yetu ya ndani, issue yake ni Kenya ku import from outside, sio kushindwa, anachotaka ni sisi wenyewe tuzalishe kwa wingi, anaonyesha vile ardhi inapungua, na kwa miaka ijayo it will be smaller ju ya population growth, na kwa hili nafahamu unajua less than a quarter of Kenya is productive, we have to go irrigation way kama Israel ili we stop importing, na itawakosesha soko, hauoni hilo ni tatizo kwenu? uchumi wetu kwa sasa unashughulikia food kikamilifu, una lingine la ku argue hapa? nchi ngapi zina import food and are above u? Sio Kenya pekee, ku import haimanishi kushindwa
., my argument ni eti story ya sijui eti njaa blah blah, which happens once in awhile apart from yearly droughts, it has always been caused by logistics delay plus corruption..,